Wengi wetu tumezaliwa na kupewa Dini aidha Uislamu (uarabu) au Ukristo (Uzungu), sasa Je, uko tayari kufa kwa ajili ya hiyo Dini?
Mimi siko tayari kufa kwa ajili ya dini, sababu ni hizi hapa;
1. Yesu mwokozi alishakufa, hivyo nife mimi ili nimwokoe nani?
2.Dini nimezikuta na hata nikafa bado wataziendeleza tu iwe kwa haki au kwa ulaghai kama wafanyavyo baadhi ya watumishi wa shetani huku wakitumia Neno la Mungu.
3.Siendeshwi kwa mihemko bali Neno ambalo ndilo taa kwangu.
Walioishi kabla ya ujio wa Yesu na kifo chake je wao inakuaje?Mimi siko tayari kufa kwa ajili ya dini, sababu ni hizi hapa;
1. Yesu mwokozi alishakufa, hivyo nife mimi ili nimwokoe nani?
2.Dini nimezikuta na hata nikafa bado wataziendeleza tu iwe kwa haki au kwa ulaghai kama wafanyavyo baadhi ya watumishi wa shetani huku wakitumia Neno la Mungu.
3.Siendeshwi kwa mihemko bali Neno ambalo ndilo taa kwangu.
Dini si inatoa mafundisho yake kwenye biblia? na wewe hizo habari za Yesu pia si umezitoa humohumo kwenye biblia?Kwa dini big no. Ila kwa ajili ya YESU HATA SASA NIKO TAYARI.