Je, ukitaka kufikisha ujumbe kwa wapenzi ambao usiku wakifanya ngono na wanapiga sana kelele utafanyaje?

"jirani unataka kuharibu watoto bhana nimepita hapo nyuma nikakuta watoto mmoja anamwambia mwenzie lia kama nanii(unataja jina la mke wake) na mme wake wanavyoliaga usiku wakiwa wanafanya matusi" alaf unamwambia "inabidi mjitaidi kupunguza sauti zenu mkiwa kwenye mechi msije mkahaibika siku moja"

Had hapa utakuwa umemaliza kaz
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
Tafuta mtu uongee naye, umseti kabisa ikifika mida yao huyo mtu akakae dirishani ajifanye amelewa ajiongeleshe na simu uongo kama anaita wenzie waje kupiga chabo ya bure, tena ajifanye anasisitiza kuwa yeye anachunguliaga mara kwa mara kila ikifika mida hiyo na awasifie wana kelele hatari
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
Jiran yetu hapa hakuna kelele ila nati za kitanda chake hazijafungw vizur maan kuna wakati nasikia kwich kwich kwich kwich
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
Nunua redio usiku washa
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
Ahahaha nimefuahi ulivyoandika kwa hekima,na ndo maana umewavumilia mpaka sasa.
Nakumbuka miaka ya nyuma nililala kigesti choka mbaya jamaa kaingiza likahaba acha makelele yake nikawa naupiga ukuta panakuwa shwari,akianza tu nalima ngumi ukuta mpaka ikawa shwari kuu.
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
Huna haja we vaa earbuds za vipira zile kisha lala
 
😂😂😂😂😂😂 We injinia soma hiyooooo…. Kuguguma guguma…. Eh! We injinia soma hiyo…… kuguguma guguma…..eh! Hiyo hiyo kwa kiswahili mnaita utamu wa K au utamu wa mb@@
🤣🤣🤣🤣🤣



Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
 
Nilipokuwa nimepanga zamani kuna wapenzi walokole walikuwa wanaishi sasa wakaoana ,jamani jamani dada yule ilikuwa akiguswa ukucha tu anatoa mlio huo kama amezibwa koo la hewa, sasa kasheshe mchezo ukianza mwe mwe mwe ana kisauti fulani hivi utasikia bebi bebi, vikichanganya mume wangu mume wangu....nikakausha baada ya muda yakaisha nkasema mbwembwe tu za ndoa mpya...
 
Nina Jirani yangu tumepanga wote hapa Uswahilini Tandale kwa Tumbo ( barabara Kuu ya Mafuriko ) na tupo Jirani kwa Vyumba vyetu kufuatana.

Yeye na Mkewe ( Shemeji ) tunaishi vizuri na Kushirikiana vyema tu Kimaisha japo wote ni Choka Mbaya tu Kimaisha ila tunaendelea Kupambana.

Hata hivyo nina Changamoto moja Kubwa ambayo Yeye na Mkewe Usiku wakiwa Wanafanya Mapenzi huwa wanapiga mno Kelele hadi Usingizi unakata kabisa.

Kweli najua Mapenzi ni Matamu na huwa yanapagawisha mno hasa pale Utamu wake ukinoga hivyo silaumu hilo ila Kelele za hawa zimezidi sana.

Kwa kumheshimu Jirani yangu huyu ( Mwanaume ) naona Aibu kumuambia moja kwa moja juu ya hii Kero ili basi waipunguze.

Hivyo naombeni Mbinu ya Kidiplomasia na Kisaikolojia ambayo itaniwezesha Kumfikishia Ujumbe na akauelewa na wala asikasirike na Ujirani wetu uendelee.

Kuna muda Makelele yao huwa yananifanya hata nihisi kuwa huenda Demu wangu akaona Mimi simngono vizuri na akanidharau na Kumtamani Jirani ili nae alizwe kama Mkewe.

Na si kwamba Mimi na Demu wangu nasi huwa hatulii la hasha nasi huwa tunalia ila ni kwa Mfumo tu wa Kuguguma guguma ila Viungo vyetu vya Kibaiolojia ndiyo huwa vinaumana kwa Kupiga Kelele ambazo najua Wao huwa hawazisikii.

Naombeni Maujuzi yenu ili leo hii hii nifikishe Ujumbe Kwake hata kwa njia ya Kimafumbo ( Kidiplomasia na Kisaikolojia ) tu kwani imekuwa bahati wote tupo Off kwa hii leo.
We mtanie , asbh mwanze baada ya salam
Dah yaani Shem unanipaga Raha wewe siyo mvivu walai daaah

Jamaa yangu huwa anafaidi Sana

 
We mtanie , asbh mwanze baada ya salam
Dah yaani Shem unanipaga Raha wewe siyo mvivu walai daaah

Jamaa yangu huwa anafaidi Sana


Mkuu we huwajui wadada wa siku izi. Jamaa akianza kumtania tania ivyo utashangaa anamla 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom