Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo
Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage
Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe
Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku
Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji
Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi
Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls
Asante nitaeleza na hii yadasaHongera.
Asante nitaelezea zaidi"!
Hongera Sana mamy! Umeniinspire!
Changamoto ya muda pia changamoto ya kuzunguka barabaran juani cz sikua na frem nilikua natembea vijiweni pia nimepata mtaj wa kukua zaid hutakiw kuganda sehem mojaKwanini uliamua kuacha iyo kazi wakati ilikuwa inakupa faida nzuri kama ulivyosema?
Changamoto ya muda pia changamoto ya kuzunguka barabaran juani cz sikua na frem nilikua natembea vijiweni pia nimepata mtaj wa kukua zaid hutakiw kuganda sehem moja
We bidada una akili sana. Unaonyesha ni mtafutaji kwa kila hali na hupendi kuwa tegemezi na mvivu. Tambua kwamba jitihada na juhudi binafsi ndio mafanikio ya maisha yako. Big up!Mkuu biashara za mitaji midogo zipo nyingi sana na faida kubwa sana ujue mwanzo mm pia nilikua siamini kabisa kama elfu 5 inaweza kuwa mtaji na ukapata faida ila naapa niliwahi kuthubutu na nikaweza na mpaka sasa japo sifany ile tena sababu ya muda nimefungua kampuni kwa mtaji kidogo tena sikua nao ila nilijieleza kwa watu wenye nia wakanichangia na mpka sasa imesimam ila nakwama pesa ya matangaz na mambo mengne ila wito wangu usidharau pesa yyte boss wangu amini na thubutu
Hongera sanaMm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo
Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage
Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe
Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku
Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji
Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi
Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls
AsanteeHongera sana
Nashukuru sanaa sanaaa kifupi mm ni mpambanaji na sijisifii hilo ndugu yangu pia sipend kua tegemez ni kwel kabisa sio rahs kwa wadada kujisomesha toka o level mm nimejisomesha kwa biashara ndogondogo jmn haikua rahisi ila tambua inawezekana na naumia sana kuona mdada anadanga kisa pesa au anaacha shule kisa hana wa kumlipia adaWe bidada una akili sana. Unaonyesha ni mtafutaji kwa kila hali na hupendi kuwa tegemezi na mvivu. Tambua kwamba jitihada na juhudi binafsi ndio mafanikio ya maisha yako. Big up!
Ahsante sana mkuuAya Mama uzidi kufanikiwa katika utafutaji
Nimeyatamani ghafla!..usione aibu fanya lolote unalopenda....je usalama wa dada za kazi ukoje?Asante nitaelezea zaidi
Ndugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumuNimeyatamani ghafla!..usione aibu fanya lolote unalopenda....je usalama wa dada za kazi ukoje?
This is very good.Ndugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumu
House girls nawasajili wapo chini ya kampun na nawapa mafunzo ya kazi
Nikikupa tunaingia mkataba kabisa na pia usalama wa familia upo chin ya kampuni
Pia house girls nimewapa thaman yan imekua kazi kama kazi zingine nawapa mikataba na bima za afya
Inaitwa muhasu domestic helpers agent company limited pia insta natumia mwajuma muhasu na nina website japo bado haijakamilika vizur waweza iangalia www.muhasu.co.tzThis is very good.
Kampuni yako inaitwaje?
Kwa speed na jitihada zako, nakuhakikishia utafika mbali.Nashukuru sanaa sanaaa kifupi mm ni mpambanaji na sijisifii hilo ndugu yangu pia sipend kua tegemez ni kwel kabisa sio rahs kwa wadada kujisomesha toka o level mm nimejisomesha kwa biashara ndogondogo jmn haikua rahisi ila tambua inawezekana na naumia sana kuona mdada anadanga kisa pesa au anaacha shule kisa hana wa kumlipia ada
Nazidi kukupenda...hongera zaidi!pambana mdogo wangu...urembo weka kando!...maisha ni rahisi Sana kwakweli .basi tu tumejifungia kwenye kijichumba kidg...tangaza matangazo yako hata insta ..na humu..wenyew uhitaji wa wadada ni wengiNdugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumu
House girls nawasajili wapo chini ya kampun na nawapa mafunzo ya kazi
Nikikupa tunaingia mkataba kabisa na pia usalama wa familia upo chin ya kampuni
Pia house girls nimewapa thaman yan imekua kazi kama kazi zingine nawapa mikataba na bima za afya
Asante sana ndugu yanguKwa speed na jitihada zako, nakuhakikishia utafika mbali.
Hii kampuni umeisajili. Haya mambo utayakuta nchi za wenzetu na ni business kubwa mno. Safi sana.Inaitwa muhasu domestic helpers agent company limited pia insta natumia mwajuma muhasu na nina website japo bado haijakamilika vizur waweza iangalia www.muhasu.co.tz