Je, ukipewa shilingi milioni 1, itakutosha katika biashara yako?

Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo

Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage

Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe


Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku

Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji


Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi



Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls

Kwanini uliamua kuacha iyo kazi wakati ilikuwa inakupa faida nzuri kama ulivyosema?
 
Mkuu biashara za mitaji midogo zipo nyingi sana na faida kubwa sana ujue mwanzo mm pia nilikua siamini kabisa kama elfu 5 inaweza kuwa mtaji na ukapata faida ila naapa niliwahi kuthubutu na nikaweza na mpaka sasa japo sifany ile tena sababu ya muda nimefungua kampuni kwa mtaji kidogo tena sikua nao ila nilijieleza kwa watu wenye nia wakanichangia na mpka sasa imesimam ila nakwama pesa ya matangaz na mambo mengne ila wito wangu usidharau pesa yyte boss wangu amini na thubutu
We bidada una akili sana. Unaonyesha ni mtafutaji kwa kila hali na hupendi kuwa tegemezi na mvivu. Tambua kwamba jitihada na juhudi binafsi ndio mafanikio ya maisha yako. Big up!
 
Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo

Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage

Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe


Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku

Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji


Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi



Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls
Hongera sana
 
We bidada una akili sana. Unaonyesha ni mtafutaji kwa kila hali na hupendi kuwa tegemezi na mvivu. Tambua kwamba jitihada na juhudi binafsi ndio mafanikio ya maisha yako. Big up!
Nashukuru sanaa sanaaa kifupi mm ni mpambanaji na sijisifii hilo ndugu yangu pia sipend kua tegemez ni kwel kabisa sio rahs kwa wadada kujisomesha toka o level mm nimejisomesha kwa biashara ndogondogo jmn haikua rahisi ila tambua inawezekana na naumia sana kuona mdada anadanga kisa pesa au anaacha shule kisa hana wa kumlipia ada
 
Nimeyatamani ghafla!..usione aibu fanya lolote unalopenda....je usalama wa dada za kazi ukoje?
Ndugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumu

House girls nawasajili wapo chini ya kampun na nawapa mafunzo ya kazi

Nikikupa tunaingia mkataba kabisa na pia usalama wa familia upo chin ya kampuni

Pia house girls nimewapa thaman yan imekua kazi kama kazi zingine nawapa mikataba na bima za afya
 
Ndugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumu

House girls nawasajili wapo chini ya kampun na nawapa mafunzo ya kazi

Nikikupa tunaingia mkataba kabisa na pia usalama wa familia upo chin ya kampuni

Pia house girls nimewapa thaman yan imekua kazi kama kazi zingine nawapa mikataba na bima za afya
This is very good.

Kampuni yako inaitwaje?
 
Nashukuru sanaa sanaaa kifupi mm ni mpambanaji na sijisifii hilo ndugu yangu pia sipend kua tegemez ni kwel kabisa sio rahs kwa wadada kujisomesha toka o level mm nimejisomesha kwa biashara ndogondogo jmn haikua rahisi ila tambua inawezekana na naumia sana kuona mdada anadanga kisa pesa au anaacha shule kisa hana wa kumlipia ada
Kwa speed na jitihada zako, nakuhakikishia utafika mbali.
 
Ndugu aibu ni adui wa maendeleo niliweka u sister du pemben nikasahau urembo nikasahau ubishororo wa chuo nikaamua kupambana katika ugumu

House girls nawasajili wapo chini ya kampun na nawapa mafunzo ya kazi

Nikikupa tunaingia mkataba kabisa na pia usalama wa familia upo chin ya kampuni

Pia house girls nimewapa thaman yan imekua kazi kama kazi zingine nawapa mikataba na bima za afya
Nazidi kukupenda...hongera zaidi!pambana mdogo wangu...urembo weka kando!...maisha ni rahisi Sana kwakweli .basi tu tumejifungia kwenye kijichumba kidg...tangaza matangazo yako hata insta ..na humu..wenyew uhitaji wa wadada ni wengi
 
Kifupi mtaji usiwe kikwazo cha kukukwamisha kijana nimepitia maisha magumu snaaaaa yan yanatoa machozi kuna muda nilitaman kujiua ila sikukata tamaaa nimepamban yn nikisimulia kuna baadh hamuwez kuamini ila nashukury Mungu nina moyo wa kijasiri sanaa yan kama jambazi sugu mpkaa hapa si hapa naanza kuona mwanga mtaji bado ni changamoto kwangu japo naamini kama nimefika hapa basi nitaendelea kusonga
 
Back
Top Bottom