Je, ukipewa shilingi milioni 1, itakutosha katika biashara yako?

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Kuanza biashara inahitaji maandalizi ya kutosha, uwe na resources za kutosha ikiwemo mtaji n.k, na ukafanikiwa kuanza basi changamoto zinakua zipo haswa kama ulikua na matarajio makubwa inaweza kushusha morali na kukata tamaa, lakini yote lazima kuhakikisha unayafikia malengo hata kama utatembea mwendo wa konokono alimradi ufike mahali ulipodhamiria kufika.

Njiani waweza kutana na usaidizi mbalimbali hata katika hali ambayo huwezi kuitarajia.

Kijana mfanyabiashara ndogondogo, haswa changa, mwenye mahala pa kufanyia biashara, unayepatikana mkoani Arusha, mwenye leseni, na tin, je ukisaidika shilingi milioni 1, itakutosha katika biashara yako?
 
Na sisi tunataka kufanya biashara ya mitaji midogo
Mkuu biashara za mitaji midogo zipo nyingi sana na faida kubwa sana ujue mwanzo mm pia nilikua siamini kabisa kama elfu 5 inaweza kuwa mtaji na ukapata faida ila naapa niliwahi kuthubutu na nikaweza na mpaka sasa japo sifany ile tena sababu ya muda nimefungua kampuni kwa mtaji kidogo tena sikua nao ila nilijieleza kwa watu wenye nia wakanichangia na mpka sasa imesimam ila nakwama pesa ya matangaz na mambo mengne ila wito wangu usidharau pesa yyte boss wangu amini na thubutu
 
Mkuu biashara za mitaji midogo zipo nyingi sana na faida kubwa sana ujue mwanzo mm pia nilikua siamini kabisa kama elfu 5 inaweza kuwa mtaji na ukapata faida ila naapa niliwahi kuthubutu na nikaweza na mpaka sasa japo sifany ile tena sababu ya muda nimefungua kampuni kwa mtaji kidogo tena sikua nao ila nilijieleza kwa watu wenye nia wakanichangia na mpka sasa imesimam ila nakwama pesa ya matangaz na mambo mengne ila wito wangu usidharau pesa yyte boss wangu amini na thubutu
biashara gan sasa mkuu ndio utuambie na ss ili tuifanye
 
Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo

Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage

Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe

Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku

Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji

Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi

Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls
 
Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo

Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage

Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe


Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku

Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji


Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi



Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls
Hongera.
 
Mm ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu
Kabla ya biashara ya sasa nimewah fanya biashara kadhaa huku nasoma toka o level kifupi nimejisomesha mimi mwwnyewe kwani sina wazazi mpka sasa nakaribia kumaliza chuo

Kufupisha story biashara ya nyuma kabla ya hii ni kuwa nilikua nauza makande yes makande haya haya ya mahindi na maharage

Kifupi najua sana kuyapika yan sana na nikipika nilikua nasifiwa sanaa so nikaona ni fursa kwani watu weng hasa dar wamezoea kula ugali au wali tu kwa mama lishe


Nikiwa mwaka wa pili chuo nilianza na mtaji wa elfu tano tu yan nilinunua mahindi nusu na robo maharage nusu sukar robo nazi moja karoti na hoho na mkaa wa buku

Nikawa naroweka mahindi na maharage usiku mzima ili yawah kuiva halafu nayaunga vizur sana kisha nilikua na makontena yan yale mabakuli ya mfuniko matatu nikaazima mengine matano nikawa napaki mule halafu sa sita mchana naenda kuuza kwenye vujiwe vya bodaboda kwa bei ya 1500 faida unapata 7000 baada ya kutoa mtaji wako na nikaendelea kukuza mpaka kuuza kontena 30 kwa siku na faida unapata 30 hiyohiyo baada ya kutoa mtaji


Kuhusu namna nilivokua nagawa muda wa masomo na biashara ni jambo lingine ambalo nitaeleza wakat mwingine ila haikua rahisi



Kwa sasa nimefungua kampuni nasambaza house maids yan house girls


🙌🙌🙌"!
Hongera Sana mamy! Umeniinspire!
 
Back
Top Bottom