Kupima lazima.Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena?
Unaogopa kupima kwa nn? Sio Corona tu hata Ngwengwe tutakupimaWakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena?
Sio kupata tu Corona hata kutangulia is possibleKupima lazima.
Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona.
Sasa tunachanja ili iwejeKupima lazima.
Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona.