ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 685
- 1,611
basi mambo yataenda sawa....mana dirisha la kuomba vyuo litafngliw tar 12Kwetu chuo wametuambia wanatuma matokeo jumatano nacte.. So naomba mambo yawe fresh aseeH
basi mambo yataenda sawa....mana dirisha la kuomba vyuo litafngliw tar 12Kwetu chuo wametuambia wanatuma matokeo jumatano nacte.. So naomba mambo yawe fresh aseeH
Ni elfu 10, cost zinaweza kuongezeka kulingana na mahitaji ya scanning and photocopyingKwanza mkuu me nataka nijue being halisi ya kupata AVN number kama ushawahibkuwapigia na ukawapata hao nacte.. Wanasema ni pesa ngapi..?
Hapa nakubali mkuu,, huyu ismail hassan mbona ananitia presha mwenzie.. Ety 20,000 hali ni ngumu huku kwa mtaaNi elfu 10, cost zinaweza kuongezeka kulingana na mahitaji ya scanning and photocopying
Hapa nakubali mkuu,, huyu ismail hassan mbona ananitia presha mwenzie.. Ety 20,000 hali ni ngumu huku kwa mtaa
AVN inaweza kuwa 20,000 au 10,000.Kwanza mkuu me nataka nijue being halisi ya kupata AVN number kama ushawahibkuwapigia na ukawapata hao nacte.. Wanasema ni pesa ngapi..?
Labda kama anazungumzia na elfu 10 nyingine ya applicationHapa nakubali mkuu,, huyu ismail hassan mbona ananitia presha mwenzie.. Ety 20,000 hali ni ngumu huku kwa mtaa
nliuliza walimaliza mwaka jana aakaomba mwaka huu aamnambia kuwa ni elf 20..Hapa nakubali mkuu,, huyu ismail hassan mbona ananitia presha mwenzie.. Ety 20,000 hali ni ngumu huku kwa mtaa
Mimi nakwambia kwa kuwa najua, nimeomba juzi tu haponliuliza walimaliza mwaka jana aakaomba mwaka huu aamnambia kuwa ni elf 20..
lakini kuna walomaliza mwaka jana wakapata kwa elf 10...ndomana nkaweka range ya elf 20.
baasi vizuriMimi nakwambia kwa kuwa najua, nimeomba juzi tu hapo