famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,158
- 2,699
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, je utakuwa na neno gani la kumwambia mkuu wa nchi endapo utapata bahati ya kualikwa au kupata fursa ya kutoa dukuduku, maoni au ushauri juu ya mustakabali wa taifa kwa ujumla.
Tuache siasa,... Karibuni
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, je utakuwa na neno gani la kumwambia mkuu wa nchi endapo utapata bahati ya kualikwa au kupata fursa ya kutoa dukuduku, maoni au ushauri juu ya mustakabali wa taifa kwa ujumla.
Tuache siasa,... Karibuni