GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
1. Endelea tu na utaratibu wako wa Kimaisha na Familia yako ambayo huenda ikawa inakutegemea kuliko Siasa na Chuki zako?
2. Tambua kuwa unapoteza bure muda wako kwani wapo Manguli kukuzidi walianza na wakamshindwa?
3. Kuna muda utafika utaanza Kuonekana 'Kituko' kwa wale unaowashtakia au kuwapa Uzushi na Umbea?
4. Kubadili mbinu kwani ukiendelea nayo taratibu unaweza ukawehuka na kuwa Chizi /Taahira kabisa?
5. Kujitathmini kwani yawezekana 'Followazi' wako unaodhani wanakukubali kumbe wakawa 'Wanakusanifu' tu?
6. Kukubali kuwa uwepo wake 'Madarakani' Rais Dkt. Magufuli ni Mapenzi ya Watanzania wenye Akili na Matakwa yake Mungu?
7. Kuomba nawe uweze Kujiunga ama katika Chama cha 'Adui' yako Rais Dkt. Magufuli au kama hutaki unywe tu Sumu ufie mbali?
2. Tambua kuwa unapoteza bure muda wako kwani wapo Manguli kukuzidi walianza na wakamshindwa?
3. Kuna muda utafika utaanza Kuonekana 'Kituko' kwa wale unaowashtakia au kuwapa Uzushi na Umbea?
4. Kubadili mbinu kwani ukiendelea nayo taratibu unaweza ukawehuka na kuwa Chizi /Taahira kabisa?
5. Kujitathmini kwani yawezekana 'Followazi' wako unaodhani wanakukubali kumbe wakawa 'Wanakusanifu' tu?
6. Kukubali kuwa uwepo wake 'Madarakani' Rais Dkt. Magufuli ni Mapenzi ya Watanzania wenye Akili na Matakwa yake Mungu?
7. Kuomba nawe uweze Kujiunga ama katika Chama cha 'Adui' yako Rais Dkt. Magufuli au kama hutaki unywe tu Sumu ufie mbali?