Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto ana umri gani mkuu?Angalieni msije kumbemenda akawa na akili za magamba kina riz
du!!!! wewe muongo mpaka nimekuogopa, nani alikuambia hiyo ndiyo maana ya kubemenda,suala la kubemenda ni kutembea nje ya ndoa na mwanamke mwingine au mwanaume mwingine then unafika home unamshika dogo huku ukiwa hujaoga so lile jasho ndio linapelekea hiyo hali au kuwa na mimba nyingine bila kujua wakati mtoto mwingine bado ananyonya",mada niliulizwa binafsi nikawa sina jibu la moja kwa moja nikaona nipate maoni ya wengine,Kid ana Mwaka mmoja na anatembea kama kawaida sasa je kwa manufaa ya wengine je kuna madhara gani kwa tendo hilo kwenda kavu?
Wadau na wataalam wa mambo ya afya, nauliza je kuna madhara yoyote ambayo mtoto anaweza kuyapata kwa wazazi wake kwa kufanya tendo la ndoa bila kinga?
Kama mtoto ananyonya hayo madhara yatatoka wapi ndugu?....
Muhimu ni kuepuka kunyonya au kuchezea matiti ya mama.
suala la kubemenda ni kutembea nje ya ndoa na mwanamke mwingine au mwanaume mwingine then unafika home unamshika dogo huku ukiwa hujaoga so lile jasho ndio linapelekea hiyo hali au kuwa na mimba nyingine bila kujua wakati mtoto mwingine bado ananyonya",mada niliulizwa binafsi nikawa sina jibu la moja kwa moja nikaona nipate maoni ya wengine,Kid ana Mwaka mmoja na anatembea kama kawaida sasa je kwa manufaa ya wengine je kuna madhara gani kwa tendo hilo kwenda kavu?