Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,232
- 8,430
Hata maandazi na sambusa wewe tembea navyo. Pia soda na mengine kama hayo beba tu mkuuhuwa naondoka na korosho tu mengine tuwasubiri wajuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata maandazi na sambusa wewe tembea navyo. Pia soda na mengine kama hayo beba tu mkuuhuwa naondoka na korosho tu mengine tuwasubiri wajuzi
Hilo pia ni sahihi, ila uoga umezidi kwa vijana wa sasa, Mwl angelikuwa muoga hivyo tusingefika wapiKwa 100% Mkuu kwani hujui kuwa Tanzania nzima Watu ambao wanaongoza kuwa na Akili Kubwa na Maarifa mengi ni wa kutokea Mkoani Mara?
Kuondoka Kwako na hizo Korosho za ndani ya Ndege ni Kuhujumu Uchumi wa Tanzania au hulijui hilo? Kajisalimishe haraka pale Central kwa IGP.huwa naondoka na korosho tu mengine tuwasubiri wajuzi
Ikiwa alikuwa Business Class/VIP au daraja la kwanza kama wengi huita hivyo ni mali yake alilipia. Kwa hiyo chukua tu mkuu utumie bila shaka.Kuna Njemba imeshuka katika Pipa / Mbung'o / Ndege jana usiku halafu amenipa Zawadi za Sabuni na Toilet Papers hivyo ngoja nimrudishie tu au?
Kumlinganisha Hayati Mwalimu na Sisi wana Mkoa wa Mara wa sasa ni sawa na Kumlinganisha Marehemu Maradona na Ditram Nchimbi wa Yanga.Hilo pia ni sahihi, ila uoga umezidi kwa vijana wa sasa, Mwl angelikuwa muoga hivyo tusingefika wapi
hizi korosho zenyewe zitakua na laana wananchi walipokonywa na wanajeshi huko Mtwara.Kuondoka Kwako na hizo Korosho za ndani ya Ndege ni Kuhujumu Uchumi wa Tanzania au hulijui hilo? Kajisalimishe haraka pale Central kwa IGP.
Za air Tanzania?huwa naondoka na korosho tu mengine tuwasubiri wajuzi
Mimi ni Mganga wake Mkuu wa Kienyeji kwani mara zote hata kama akiwa hana Viza ya kwenda kwa Trump huwa namfanyia Ndumba na anavuka.Ikiwa alikuwa Business Class/VIP au daraja la kwanza kama wengi huita hivyo ni mali yake alilipia. Kwa hiyo chukua tu mkuu utumie bila shaka.
Ila najiuliza tu kwa sauti, inakuwaje NJEMBA inachagua kukuletea wewe zawadi 🤣🤣🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️👍
Mkuu wapo hapa / humu na Wanakusoma na Kukuangalia tu je, huwaogopi hao Wazee wa Makao Upanga na sasa kule Mji Mkuu Dodoma walipo?hizi korosho zenyewe zitakua na laana wananchi walipokonywa na wanajeshi huko Mtwara.
hawana shida na sisimizi kama mimi wanataka matembo.Mkuu wapo hapa / humu na Wanakusoma na Kukuangalia tu je, huwaogopi hao Wazee wa Makao Upanga na sasa kule Mji Mkuu Dodoma walipo?
Sasa ukipewa hayo Mapochopocho huku Ndege ikiwa inapitia Mtikisoko ( Air Turbulence ) na ukajiharishia utawasaidia Cabin Crews Kuyazoa yote?Za air Tanzania?
Siku hizi hawatoi kitu, majuzi tunatangaziwa kuwa hatijapewa viburudisho kwa ajili ya hali mbaya ya hewa sijui kuna uhusisno gani na hivyo
Kuna chooSasa ukipewa hayo Mapochopocho huku Ndege ikiwa inapitia Mtikisoko ( Air Turbulence ) na ukajiharishia utawasaidia Cabin Crews Kuyazoa yote?
Nataka na mimi mkuu unifanyie niende kwa Malkia 🤣🤣Mimi ni Mganga wake Mkuu wa Kienyeji kwani mara zote hata kama akiwa hana Viza ya kwenda kwa Trump huwa namfanyia Ndumba na anavuka.
Mkuu nimecheka sana na hiki ulichokiandika hapa. Kwahiyo hayo Mataulo uliyasalimisha hapo hapo Reception au ulitambaa nayo tu hadi Kitaani?Unabeba tu mimi nilitembea na mataulo wakanisimamishia reception
Nitafutie Mavuzi ya Simba Dume na tena hakikisha unayakata ( unayachukua ) pale akiwa Mawindoni na ana Njaa ya Kitoweo ndiyo huwa mazuri.Nataka na mimi mkuu unifanyie niende kwa Malkia 🤣🤣
Si tunakuwa tumeshavilipia Mkuu au?Nyie ndo mnaoiba ndala na sabuni na mashuka gest
Hiyo Mito nimuachie nani? Kwani na yenyewe sijailipia pia?Hijaiba, tayari umeshavilipia, ila mito iache!!