johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,647
Ni muda mrefu sasa ule muungano wa vyama vya siasa uliomsimamisha mzee Lowassa apambane na Dr Magufuli mwaka 2015 umekuwa kimya.
Je, tutegemee kuiona UKAWA ile tunayoifahamu ikishiriki tena chaguzi zinazokuja punde?....au Chadema hawana haja ya mashirikiano tena?!!
Tunakukumbuka mgonjwa UKAWA.
Maendeleo hayana vyama!
Je, tutegemee kuiona UKAWA ile tunayoifahamu ikishiriki tena chaguzi zinazokuja punde?....au Chadema hawana haja ya mashirikiano tena?!!
Tunakukumbuka mgonjwa UKAWA.
Maendeleo hayana vyama!