NITATOA USHUHUDA
JF-Expert Member
- Jul 6, 2017
- 757
- 728
NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO
mimi ni kijana na nimetoka familia ambayo nilikuwa nabanwa sana.HUU NDIYO MUDA WANGUHutak wagen
MKUU ASANTE KWA MSAADAInategemea:
1.ukijenga kwa kutumia miti:825,000
2.ukijenga kwa kutumia tofali za kuchoma: 7,200,000
- 3.ukijenga kwa block:13,105,000
Watalala sebuleniHutak wagen
Hiyo inaitwa bachelor pad,hata mie nataka kama hyo,wageni wanakaribishwa lakini anakuja na kuondoka sio wa kulalaHutak wagen
Mkuu una uhakika na makadirio yako?Inategemea:
1.ukijenga kwa kutumia miti:825,000
2.ukijenga kwa kutumia tofali za kuchoma: 7,200,000
- 3.ukijenga kwa block:13,105,000
Kabisa, finishing inategemea na quality ya milango utakayochagua, kama utaweka celling board au gypsum bei zitatofautiana. kama utaweka sakafu au tires, bei zitatofautiana. N.kMkuu una uhakika na makadirio yako?
Hivi na huku uswahilini nyumba za mbao zinajengeka kweli kama kwa wenzetu?Kabisa, finishing inategemea na quality ya milango utakayochagua, kama utaweka celling board au gypsum bei zitatofautiana. kama utaweka sakafu au tires, bei zitatofautiana. N.k
Swali zuri.Hivi na huku uswahilini nyumba za mbao zinajengeka kweli kama kwa wenzetu?
Naomba ufafanuzi,na kwa jiografia yetu mazingira yepi yafaa kwa ujenzi wa aina hyoSwali zuri.
Inategemea ulipo. Huku kwetu Ar mpakani mwa Kenya Rumu moja mpaka ukamilishe ni 1.Mawe lori moja 100000 2.Mchanga lori moja 60,000 Cement mifuko miwili. Fundi laki moja, na kokoto toroli 8 maji gari moja na n.k tuseme 70000. Huo ni msingi.
B. Natofali 300 sh 700000 2.mifuko 5 ya cementu@13500 3.Maji gari moja 25000 mchanga na kokoto ya lenta 80000.
C.Kupaua Bati 12@15000 2.Mbao n.k hapo ni makadirio ya kati. Chumba kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO