lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Wana wa Tanzania,
Je, uhuru wa wa vyombo vya habari na uhuru wa kutoa maoni ndio umerudi rasmi nchini Tanzanai?
Watanzani wa huku kitaa wanamwita rais wetu mpya kwa jina maarufu kuwa ni mama faraja.
Kitaa wanamtambua mama yetu na rais wetu kama mama faraja.
Wengine wanasema mama ni mpenda demokrasia hawezi kuwa anapiga mawazo ya watu wengine rungu.
Je,wananchi wanawaza mawazo sahihi?
Hongera sana rais wetu mpendwa na mpenda watu.
Endelea na moyo huo huo
Je, uhuru wa wa vyombo vya habari na uhuru wa kutoa maoni ndio umerudi rasmi nchini Tanzanai?
Watanzani wa huku kitaa wanamwita rais wetu mpya kwa jina maarufu kuwa ni mama faraja.
Kitaa wanamtambua mama yetu na rais wetu kama mama faraja.
Wengine wanasema mama ni mpenda demokrasia hawezi kuwa anapiga mawazo ya watu wengine rungu.
Je,wananchi wanawaza mawazo sahihi?
Hongera sana rais wetu mpendwa na mpenda watu.
Endelea na moyo huo huo