johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Niko hapa napitia vifungu mbalimbali vya katiba na hasa nikitafakari namna ambavyo mbunge anaweza kuvuka mipaka ya nchi yetu na kwenda kuinanga serikali ughaibuni.
Nimejiuliza, je huo si uhuru wa bunge katika kushauri na kukosoa?
Mmmh lakini kila uhuru una mipaka ndio nimeona hii kitu kuwa Rais wa JMT anaweza kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya.
Naendelea kutafakari........!
Maendeleo hayana vyama na si lelemama!
Nimejiuliza, je huo si uhuru wa bunge katika kushauri na kukosoa?
Mmmh lakini kila uhuru una mipaka ndio nimeona hii kitu kuwa Rais wa JMT anaweza kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya.
Naendelea kutafakari........!
Maendeleo hayana vyama na si lelemama!