Je, 'Uhalifu' nchini Tanzania 'umepungua' kama si 'kumalizika' kabisa hadi hawa 'Jamaa' wageukie huku ghafla?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,363
108,403
Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litaanza kuchukua hatua kwa wagombea wote ambao hawafuati ratiba ya kampeni iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jambo ambalo ni kosa kulingana na kanuni za maadili ya vyama vya siasa na uchaguzi.

Nipashe

Laiti Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingekuwa na Umakini huu kwa 'Wanasiasa' dhidi ya 'Uhalifu' nchini huenda Tanzania yetu ingeshakuwa Salama.
 
sijakuelewa!
Tanzania ingekuwa salama kivipi?
inamaana Tanzania si nchi salama?
 
Polisi wa nchi hii wanatia hasira. Juzi juzi vibaka wamefunga mtaa maeneo ya Mabibo Polisi wamejificha. Polisi wetu wame specialize kupambana na wanasiasa wa upinzani tu!!!
 
Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litaanza kuchukua hatua kwa wagombea wote ambao hawafuati ratiba ya kampeni iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jambo ambalo ni kosa kulingana na kanuni za maadili ya vyama vya siasa na uchaguzi.

Nipashe

Laiti Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingekuwa na Umakini huu kwa 'Wanasiasa' dhidi ya 'Uhalifu' nchini huenda Tanzania yetu ingeshakuwa Salama.
😂😂😂😂😂😂

Mie nimemuuliza sabas anapanga kuchukua hatua gani dhidi ya mjumbe wa NEC Kassim Majaliwa ambaye anafanya kampeni za uraisi maeneo mbalimbali bila kuwepo kwenye ratiba ya Tume???

Nimeumia Sabas hajanijibu hadi saivi 😂😂
 
Una uhakika kabisa tena wa 100% kuwa Tanzania ni Salama? Je, unaelewa kuwa neno 'Salama' na 'Usalama' ni 'Mtambuka' mno tu? Usinichoshe!!!
Brother fafanua usalama upi, maana sasa hivi wafanyabiashara wanafanya biashara zao hadi usiku wa Saa 3 na hatijasikia kuvamiwa. Labda utueleze wewe Tanzania sio salama kivipi, maana umeleta hoja isiyo na mashiko brother, au wewe inawezekana haupo Tanzania nini?
 
Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litaanza kuchukua hatua kwa wagombea wote ambao hawafuati ratiba ya kampeni iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jambo ambalo ni kosa kulingana na kanuni za maadili ya vyama vya siasa na uchaguzi.

Nipashe

Laiti Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingekuwa na Umakini huu kwa 'Wanasiasa' dhidi ya 'Uhalifu' nchini huenda Tanzania yetu ingeshakuwa Salama.
Sasa hivi tunaelekeza nguvu zetu kuwapukutisha wahalifu wa kisiasa ambao ni maccm
 
Back
Top Bottom