GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litaanza kuchukua hatua kwa wagombea wote ambao hawafuati ratiba ya kampeni iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jambo ambalo ni kosa kulingana na kanuni za maadili ya vyama vya siasa na uchaguzi.
Nipashe
Laiti Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingekuwa na Umakini huu kwa 'Wanasiasa' dhidi ya 'Uhalifu' nchini huenda Tanzania yetu ingeshakuwa Salama.
Nipashe
Laiti Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingekuwa na Umakini huu kwa 'Wanasiasa' dhidi ya 'Uhalifu' nchini huenda Tanzania yetu ingeshakuwa Salama.