Je, Uganda inachangia kushuka kwa kina Ziwa Victoria?

Mongoiwe

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
524
263
Takwimu zinaonyesha kuwa kina cha maji cha ziwa kilishukwa kwa kasi katika kipindi cha kati ya miaka ya 2000 na 2006 na kusababisha madhara makubwa ya kiuchumi na kimazingira kwa maeneo yaliyomo kwenye Bonde la Ziwa hilo.

Mwaka 2000 kina cha maji kilipungua kwa takribani mita 1.6- kufikisha kiwango cha mita 1,133.26 kutoka usawa wa bahari. Mwaka 2006 kiwango ambacho kinaelezwa kukikaribia sana kile cha chini zaidi kilichorekodiwa Machi mwaka 1923.

Nimesikia mara kadhaa kuwa moja kati ya sababu za kupungua kwa kina cha maji ndani ya ziwa Victoria kinatokana na serikali ya Uganda kuanzisha ufuaje wa umeme kwenye Bwawa la Owen lililopo juu ya mto Nile.

a). Je, ni kweli Uganda inatumia maji toka ziwa Victoria kwa ajili ya Umeme.
b). Kama ni kweli mbona nimesikia kuwa kuna sheria (Misri) inayolinda na kuzuia utumiaji wa maji ya ziwa Victoria?

Nawasilisha.
 
Hiyo Owen Dam mbona imekuwapo tangu 1954, kuna kipya gani ?

Ziwa Victoria kama maziwa mengine, halina springing source of water below, kwa hiyo maji yanayoingia yakipungua hata kama maji yanayotoka ni yale yale, kina kinapungua.

Tunajuaje kwamba maji yanayoingia ziwani kupitia mto Kagera na vyanzo vingine hayajapungua ?
 
Mie niko interested kujua ilikuwaje kima cha maji kikawa chini zaidi mwaka 1923.
 
QUOTE=Kiranga;

Ziwa Victoria kama maziwa mengine, halina springing source of water below.

Duh! Hii kali. Mkubwa ebu nipe mfano wa Ziwa lenye spring source of water below!
 
Kuna huyu Hydrologic Engineer kaandika paper inayoonyesha kuna sehemu kubwa levels kushuka kunatokana na kupungua mvua, ingawa pia kuna sehemu inayotokana na Owen Falls kutotumia maji kwa mujibu wa makubaliano.

Hajajibu vizuri swali la levels za 1923, ingawa ana chart inayoonyesha lowest level hii. Kwa sababu ma dams hayakuwa yameendelea sana siku hizo, nafikiri hili litakuwa swala la precipitation.

http://www.internationalrivers.org/files/060208vic.pdf
 
Hamjui ka Ziwa Victoria ni Ziwa linalokufa? (a dying Lake). Archaeology tells us that the Lake coverage was up to parts of Dodoma from where it is now. Archaeological evidences from rock similarities justify that. Ivyo tatizo la kina cha ziwa kupungua ni inevitable kwani it's a process that started long way back.
 
[QUOTE=Kiranga;Ukasema,


Nimesema



Mazee unajua kusoma ?

Nimekusoma mzee. Ila ulivyojenga sentensi yako ilikua a bit confusing! Kulikua hakuna haja ya kusema KAMA MENGINE,ilhali maziwa yote si chemichemi. Pamoja mzee.
 
Hamjui ka Ziwa Victoria ni Ziwa linalokufa? (a dying Lake). Archaeology tells us that the Lake coverage was up to parts of Dodoma from where it is now. Archaeological evidences from rock similarities justify that. Ivyo tatizo la kina cha ziwa kupungua ni inevitable kwani it's a process that started long way back.

Financial advisors katika caveats zao kuhusu investment performance wana msemo wao mmoja.

Past performance is no indication of future results. This means, under ceteris paribus, things can change into any direction at any time.

Unless unatuletea kitu kingine zaidi ya rekodi ya kihistoria tu, huwezi kusema kwa ujuzi kwamba Ziwa litakauka.

Ukituambia kwamba precipitation inapungua kutokana na global warming, deforestation na urbanization, kwa hiyo vyanzo viwili vya maji (mvua na mito) vinapunguza maji yanayoingia ziwani mwaka hadi mwaka, nitakuelewa.

Ukiongelea mambo ya geological scale mimi nitakushangaa, kwa sababu you might as well be talking about the eventual parting of the eastern part of Africa from the rest of Africa through continental drift.

You might as well be talking about the extinction of the sun due to the exhaustion of nuclear fusion energy.

Keep things in perspective, like 10/ 100/ 100 years from now.

Otherwise, all closed systems tend to deteriorate and you just can't fight entropy, this is ingrained into all time subjected phenomena by the second law of thermodynamics.
 
Nimekusoma mzee. Ila ulivyojenga sentensi yako ilikua a bit confusing! Kulikua hakuna haja ya kusema KAMA MENGINE,ilhali maziwa yote si chemichemi. Pamoja mzee.

Kulikuwa na haja, kwa sababu ningesema "Ziwa Victoria halina a springing source of water below" mtu mwingine angeweza kuelewa kwamba kuna maziwa yana a springing source of water below.

Sasa basi, kwa kutaka niwe wazi ili nisipotoshe, nikasema wazi kwamba, Ziwa Victoria, kama yalivyo maziwa yote, halina source of springing water below.
 
Kuna school of thoughts (credible enough) inayosema global warming haijasababishwa na human activities.

Imekaaje hiyo?
 
Kuna school of thoughts (credible enough) inayosema global warming haijasababishwa na human activities.

Imekaaje hiyo?

Hili ni swala tofauti.

Ugumu mmoja wa kulijua hili ni kwamba records za maana za temperature kabla ya industrial revolution hazipatikani.

Kuna watu wanahusisha global warming ya sasa na cyclical trends kama zile zilizoyeyusha barafu kutoka kwenye last ice age 12,000 years ago, au habari za sunspots/ flares. Lakini mimi nafikiri kama hii ingekuwa a purely natural phenomena then tungeona joto linazidi mara nyingi zaidi.

Ni vigumu kubisha kwamba ChloroFluoroCarbons haziharibu ozone layer, ni vigumu kubishia greenhouse effect wakati kuna watu kama kina Bill McKibben wameandika haya mambo na kuya document vizuri.

Nafikiri kusema global warming haijasababishwa na watu ni kutaka ku bury our heads in the sand and ignore the telltale signs of an impending doom.

Kusema global warming haijasababishwa na binadamu ni aina moja tu ya kukataa responsibility, next thing you know utasema kwa sababu haijasababishwa na binadamu basi ni kazi ya mungu, tuombe mungu tu litakalotokea inshaallah.

I am not with that.
 
Tell that to the people in the midwest.....that there is such a thing as global warming.

I am asking you, or are you trying to say you are one of them ?

Just because there is a bitter winter somewhere, it does not mean the average temperature of the globe is not rising.
 
I am asking you, or are you trying to say you are one of them ?

Just because there is a bitter winter somewhere, it does not mean the average temperature of the globe is not rising.

I'm not in the midwest but I'm one of those that believe global warming is a hoax.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom