Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Je Mengi alifanya kosa kuwataja mafisadi? Serikali imetamka wazi kuwa Mheshimiwa Reginald Mengi alifanya makosa kuwataja mafisadi hadharani kwani wengi wao matatizo yao yapo mahakamani. Mengi hana mamlaka ya kufanya hivyo. Je mtu kutaja wanaofanya makosa hadharani si haki ya kikatiba? Ninaomba kueleweshwa kuhusiana na hilo.