britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tusijidanganye kwamba hakuna udini unaoanza kuibuka baina ya Watanzania,
Tusiwaone viongozi wetu saa nyingine wanaudhuria misiba ya wadini kwao tofauti, au wanafuturisha huku wakiwa dini tofauti, mkadhani bado taifa limesimama imara kama inavyosemwa
Kwa sasa hata taasisi na forums kama JF wanaogopa hata kukemea hili usishangae hata uzi wa kukemea udini kama huu unafutwa,
Nchi imeacha mambo haya yakatrend kwa kasi,
Udini upo up upo
Kuna watu hapa ikionekana anayefanya jambo fulani ni dini tofauti na yao wanatumia nguvu kubwa kupotosha, sasa hii ndo ujenzi wa Taifa imara?
Tuungane kukemea Udini kwa pamoja
Tusiwaone viongozi wetu saa nyingine wanaudhuria misiba ya wadini kwao tofauti, au wanafuturisha huku wakiwa dini tofauti, mkadhani bado taifa limesimama imara kama inavyosemwa
Kwa sasa hata taasisi na forums kama JF wanaogopa hata kukemea hili usishangae hata uzi wa kukemea udini kama huu unafutwa,
Nchi imeacha mambo haya yakatrend kwa kasi,
Udini upo up upo
Kuna watu hapa ikionekana anayefanya jambo fulani ni dini tofauti na yao wanatumia nguvu kubwa kupotosha, sasa hii ndo ujenzi wa Taifa imara?
Tuungane kukemea Udini kwa pamoja