malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,312
- 512
cdm kwani wanajali watu na rasilimali za watanzania.Peoples......power!
hebu 2ngoje katiba mpyaa endapo itaondoa madaraka mengi kwa raisi kuwe na uhuru wa mihili mi3 ya nchi, mawaziri wasiwe wabunge nk ndo nitatizama chama kipi kina mgombea strong ila kama katiba ijayo itafanana na hii ya sasa ccm hata wamsimamishe mtume mohamed kura itaenda cdm tu.
tuanzie kwanza kwenye bajet ya mwaka huu ni trion15 pia tua maoni ya katiba mpya
Umechemka siasa ni propaganda ,na wala sio chadema.wote wanafiki tu,njaa zinawasumbua,Kelele nyingi utafikiri Wanabakwa,na wala hawawezi kukidhi matarajio ya wanna nchi,porojo nyngi kwa kutaka kura tu na bado tuendelee kuteseka .chadema' coz ndicho chama chenye uwezo wa kumuondoa maskin wa tz hapa alipo-na rais atakae toka chadema atakidhi matarajio ya wananchi.
Umechemka siasa ni propaganda ,na wala sio chadema.wote wanafiki tu,njaa zinawasumbua,Kelele nyingi utafikiri Wanabakwa,na wala hawawezi kukidhi matarajio ya wanna nchi,porojo nyngi kwa kutaka kura tu na bado tuendelee kuteseka .
Aliiba kura na kubaka democrasia
Nitaipigia kura CHADEMA hata kama wakisimamisha JIWE
Amini usiamini kama C.C.M itakuwa imelazimisha kujitangazia urais lakini ukweli upo wazi kwamba wananchi hawaitaki serikali ya c.c.m so nyie Akina Manyanya fanyeni hayo mkijua kwamba huo ndio mwisho wenu.... sisi tunaona na hukumu yenu ni 2015..