jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Wanajamvi,
Kutokana na ukweli kuwa kina Mbowe na mwenzake Esther Matiko, hawakuwa na makosa yoyote kunyimwa dhamana na hata kufutiwa dhamana, Je siyo uthibitisho wa kuwa aliwekwa ndani kwa sababu za kisiasa?
Je hakuna chombo cha kumwajibisha huyo hakimu ambaye alipewa zawadi na mwanasiasa ya kuwa jaji?
Kwa wenzetu, huyo jaji lazima angeitwa na kuhojiwa na kamati maalum ya bunge ili kuweza kujuwa sababu zilizomfanya kufikia maamuzi yale ambayo ni kinyume cha sheria za nchi?
Kupandishwa cheo kwa hakimu Mashauri kwenda kwenye ujaji, na mwanasiasa, ni ushahidi wa “quid pro quo”, lugha ya kisheria inayooyesha kuwa kulikuwepo na manadilishano, yani yeye kumweka ndani Mbowe kinyume cha sheria, na kupatiwa cheo, ni ushahidi tosha wa “quid pro quo “
Wana JF nadhani katiba mpya ni muhimu kupita kiasi! No checks and balances! Hii katiba haina tofauti na ile ya enzi za Joseph Stalin au Mao Zedung!
Kutokana na ukweli kuwa kina Mbowe na mwenzake Esther Matiko, hawakuwa na makosa yoyote kunyimwa dhamana na hata kufutiwa dhamana, Je siyo uthibitisho wa kuwa aliwekwa ndani kwa sababu za kisiasa?
Je hakuna chombo cha kumwajibisha huyo hakimu ambaye alipewa zawadi na mwanasiasa ya kuwa jaji?
Kwa wenzetu, huyo jaji lazima angeitwa na kuhojiwa na kamati maalum ya bunge ili kuweza kujuwa sababu zilizomfanya kufikia maamuzi yale ambayo ni kinyume cha sheria za nchi?
Kupandishwa cheo kwa hakimu Mashauri kwenda kwenye ujaji, na mwanasiasa, ni ushahidi wa “quid pro quo”, lugha ya kisheria inayooyesha kuwa kulikuwepo na manadilishano, yani yeye kumweka ndani Mbowe kinyume cha sheria, na kupatiwa cheo, ni ushahidi tosha wa “quid pro quo “
Wana JF nadhani katiba mpya ni muhimu kupita kiasi! No checks and balances! Hii katiba haina tofauti na ile ya enzi za Joseph Stalin au Mao Zedung!
Jaji Rumanyika sio tu amewaachia huru Mbowe na Matiko bali pia amefuta masharti ya dhamana ya kuripoti Polisi kila wiki.
Akisoma uamuzi huo leo, Jaji Sam Rumanyika amesema ushahidi uliowasilishwa mahakamani unaonesha Mbowe na Matiko hawakuruka masharti ya dhamana kama ilivyoelezwa na upande wa Jamhuri. Mahakama kuu imejiridhisha kwa nyaraka kuwa Mbowe alikwenda Afrika kusini kwa matibabu na akatumia kipindi chake cha mapumziko ya matibabu kwenda Ubelgiji jambo ambalo si kosa kisheria.
Pia Ester Matiko hakufika mahakamani siku ya kesi yake kwa sababu alitumwa na Spika kwenda Burundi kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya mabunge ya Afrika mashariki. Ester aliwasilisha mahakamani barua ya Spika lakini ilikataliwa na kufutiwa dhamana.