nyasatu
Member
- May 15, 2009
- 72
- 1
Wana JF,kusema kweli nina hamu saaana ya kujua exactrly true results(un chakachuaji)ya mwaka huu for presidential level ili nione hali halisi ilivyo ya kisiaa nchini na ili niweze waonea huruma vizuri hawa wana ccm,je wana chadema waliohumu or uongozi wa jf wanaweza pata izo data?achana na hizi za neccoz hazina chembe ya ukweli ndani yakeee....i guess CHADEMA itakua na matokeo yoote,