Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Habari ya J2 ndugu jamaa na marafiki lengo langu ni kuuliza tu kwa awamu hii ya tano je tutegemee ziara za kimataifa za maraisi mbalimbali wa dunia kushuka kwenye ardhi yetu kama kipindi cha jk tumeshuhudia Marais mbalimbali wakija kama OBAMA,BUSH,CLINTON,yule wa china,ufaransa,Urusi n.k..