THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies,
Niwasalim kwa Jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA KAZ IENDELEE,
Katika jambo ambalo kila nikikumbuka naishiwa kutokwa na machozi basi ni tukio la kinyama kabisa la kushambuliwa nusura auwawe Mh Tundu Lissu.
Siyo speaker wa Bunge, siyo jeshi la polisi, siyo mahakama Wala serikali walilitolea majibu ya kueleweka suala lile, lakin sote tunajua kuwa tukio lile lilitokea punde tuh baada ya hotuba ya mwendazake ikulu alipokuwa anahutubia kuhusu mambo ya madini na kuwananga aliowaita wasaliti katika harakat zake mwendazake.
Tunajua mama aliumizwa na kitendo kile na alithubutu kupita hospital Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu, sema tuh alikuwa Hana jinsi,
Sasa,kwa kuwa mwendazake hayupo na wengi waliitaka sana haki itendeke Ila wakaingiwa na ubarid wa hofu,je tutakuwa tumechelewa tukiomba hilo suala la uchunguz lianze upya Tena kwa vyombo huru?
Tuwajue hawa wasiojulikana,wametutesa sana.
Niwasalim kwa Jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA KAZ IENDELEE,
Katika jambo ambalo kila nikikumbuka naishiwa kutokwa na machozi basi ni tukio la kinyama kabisa la kushambuliwa nusura auwawe Mh Tundu Lissu.
Siyo speaker wa Bunge, siyo jeshi la polisi, siyo mahakama Wala serikali walilitolea majibu ya kueleweka suala lile, lakin sote tunajua kuwa tukio lile lilitokea punde tuh baada ya hotuba ya mwendazake ikulu alipokuwa anahutubia kuhusu mambo ya madini na kuwananga aliowaita wasaliti katika harakat zake mwendazake.
Tunajua mama aliumizwa na kitendo kile na alithubutu kupita hospital Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu, sema tuh alikuwa Hana jinsi,
Sasa,kwa kuwa mwendazake hayupo na wengi waliitaka sana haki itendeke Ila wakaingiwa na ubarid wa hofu,je tutakuwa tumechelewa tukiomba hilo suala la uchunguz lianze upya Tena kwa vyombo huru?
Tuwajue hawa wasiojulikana,wametutesa sana.