McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,120
- 2,167
Habar za muda huu wanajamvi,
Nmekuwa napitia mjadala wa je tutafika? Ya channel tajwa hapo juu ila hicho kipindi sizielewi mada zake.
Kwanza napenda anayeelewa mada za huyo mzee anayeongoza kipindi, anieleweshe huyo mzee ni nani kitaaluma, kisiasa na kijamii .
Nimeomba msaada huo kwa jinsi anavyoongoza kipindi yaani anakaribisha wataalamu halafu yeye ndie wa kutoa conclusions kila mada na haeleweki,
Msaada tafadhali kwa anaemuelewa mada zake
Nmekuwa napitia mjadala wa je tutafika? Ya channel tajwa hapo juu ila hicho kipindi sizielewi mada zake.
Kwanza napenda anayeelewa mada za huyo mzee anayeongoza kipindi, anieleweshe huyo mzee ni nani kitaaluma, kisiasa na kijamii .
Nimeomba msaada huo kwa jinsi anavyoongoza kipindi yaani anakaribisha wataalamu halafu yeye ndie wa kutoa conclusions kila mada na haeleweki,
Msaada tafadhali kwa anaemuelewa mada zake