Wakati mama anapanga kufanya hiyo ziara ulipasa kumuuliza kama katika ziara yake anampango huoNi kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Daaah 🤣🤣Huo ubongo wako ni mzigo tu kichwani. Nakushauri utoe
Mkuu kila kitu kipo chini ya usimamizi imara sana .Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Huyu machinga anaushangaa muujiza unaotembea
Mkuu Erythrocyte, hongera sana kwa bandiko hili, uliona mbali. Hii inaitwa trends reading.Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Maandamano ni "janga" utakuwa umetoka safari ya chooni!Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani.
Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali.
Bad timing.
Umepata ujumbe wangu sasaUjumbe wako hapa ni upi hasa.
Pumbavu zakoLissu hana muda atakuwa busy na Maryam sarungi na Fatma karume kuandaa clips na twitter ambazo kwa sasa ndizo zinazoendesha shughuli za kisiasa kwa chadema
Who are you? KengeWHO is Lissu mpaka mumpe mileage hivyo na kumwona Rais wa nchi ndo mwenye Shida naye. Mnajikuza sana na ndipo mnafeli kabisa.
Kuna watu mnaona mbali mpaka huwa nahisi labda ni Manabii.
Roho inakuuma hapo ulipo.Mkuu Erythrocyte, hongera sana kwa bandiko hili, uliona mbali. Hii inaitwa trends reading.
Hongera sana.
P
vp mkuuMH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa
USSR
vp mkuu
Kuna kila dalili kwamba amefunuliwaSafari ya kimkakati.. Mungu ibariki CHADEMA na Chief Hangaya kama atafunuliwa kumtafufa TAL