Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Msitake kuwachafua viongozi wetu kwa kuwachanganya na watu wasioeleweka wala kujielewa wao wenyewe. Awamu ya tatu iliifanyia nchi hii mambo makubwa sana lakini haijapata kutokea viongozi wake kujisifia wala kujitangaza. Huo ndio uongozi. Mkapa na Nyerere ndiyo viongozi walioiweka nchi hii kwenye ramani ya ulimwengu kidiplomasia. Nyerere ndiye alimponya Babu asipelekwe Zanzibar 1972 akihofia angeuawa; wewe unasema alimfukuza! Babu alikwenda kufundisha Ulaya na Marekani na ikuwa huru kuja nyumbani wakati wowote. Kambona alikimbia mwenyewe. Jumbe aliwajibishwa na vikao vya chama chake. Mkapa alikuwa mjeuri lakini kiongozi mwenye upeo na exposure.
Wrong!
A.Babu aliondoka kwa sababu ya kutokuelewana na Nyerere na alifia ukimbizini Uingereza!