Mechanism Of Action
Member
- Sep 8, 2020
- 22
- 9
Hana tofauti na Savimbi, fuatilia wapigania nchi zao wenye nia ya ukombozi kama walifanya anayoyafanya Lisu.
Kwa kifupi sana, Lissu ameamua kutumia silaha nyingine baada ya kwanza kuzidiwa, kifaru kikishindwa jaribu fighter jet kwa masafa ya mbali.