Je, Tundu Lissu ajiuzulu Uongozi wa bunge na kubakia mbunge wa kawaida hadi atakapopona "kabisa"?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,866
Tundu Lissu ni Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na ni mbunge wa jimbo la Singida mashariki.

Lissu amepona lakini bado anajiuguza so kama kiongozi wa bunge ingekuwa vema akajiuzulu nafasi ya Mnadhimu mkuu na kubakia mbunge wa kawaida hadi pale afya yake itakapotengamaa then airejee nafasi yake ikibidi.

Hii itasaidia kupunguza " kuchanganyika" kwa stress za kufanya maamuzi ya kiuongozi na zile za kujiuguza.

Nimeambiwa mahali fulani kuwa Rip Sokoine aliwahi kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu ili aweze kujiuguza kwani alihofia stress za kujiuguza kuinfluence maamuzi yake ya kiuongozi.

Mchana mwema
Maendeleo hayana chama!
 
Tundu Lisu ni Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na ni mbunge wa jimbo la Singida mashariki.
Lisu amepona lakini bado anajiuguza so kama kiongozi wa bunge ingekuwa vema akajiuzulu nafasi ya Mnadhimu mkuu na kubakia mbunge wa UKAWA hadi pale afya yake itakapotengamaa then airejee nafasi yake ikibidi.
Hii itasaidia kupunguza " kuchanganyika" kwa stress za kufanya maamuzi ya kiuongozi na zile za kujiuguza.

Nimeambiwa mahali fulani kuwa Rip Sokoine aliwahi kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu ili aweze kujiuguza kwani alihofia stress za kujiuguza kuinfluence maamuzi yake ya kiuongozi.

Mchana mwema
Maendeleo hayana chama!
Tatizo lake ni lipi, mbona hata vichaa wanaongoza nchi sembuse kilema cha magongo!
 
Tundu Lissu ni Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na ni mbunge wa jimbo la Singida mashariki.

Lissu amepona lakini bado anajiuguza so kama kiongozi wa bunge ingekuwa vema akajiuzulu nafasi ya Mnadhimu mkuu na kubakia mbunge wa kawaida hadi pale afya yake itakapotengamaa then airejee nafasi yake ikibidi.

Hii itasaidia kupunguza " kuchanganyika" kwa stress za kufanya maamuzi ya kiuongozi na zile za kujiuguza.

Nimeambiwa mahali fulani kuwa Rip Sokoine aliwahi kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu ili aweze kujiuguza kwani alihofia stress za kujiuguza kuinfluence maamuzi yake ya kiuongozi.

Mchana mwema
Maendeleo hayana chama!
Sasa umejikita kupost hoja za kimalaya malaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Binafsi napendekeza avuliwe ubunge kwani hahudhurii vikao, anaruka from one capital city to the next huku tukimlipa mshahara, hivyo avuliwe Ubunge na apelekewe bili arudishe Mshahara tuliomlipa bila ya kazi, maana Ugonjwa umeisha!
 
Tundu Lissu ni Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na ni mbunge wa jimbo la Singida mashariki.

Lissu amepona lakini bado anajiuguza so kama kiongozi wa bunge ingekuwa vema akajiuzulu nafasi ya Mnadhimu mkuu na kubakia mbunge wa kawaida hadi pale afya yake itakapotengamaa then airejee nafasi yake ikibidi.

Hii itasaidia kupunguza " kuchanganyika" kwa stress za kufanya maamuzi ya kiuongozi na zile za kujiuguza.

Nimeambiwa mahali fulani kuwa Rip Sokoine aliwahi kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu ili aweze kujiuguza kwani alihofia stress za kujiuguza kuinfluence maamuzi yake ya kiuongozi.

Mchana mwema
Maendeleo hayana chama!
mgonjwa ni huyu kichaa anaeongoza nchi.
 
Kwan upelelezi umefikia wapi? Mbona kimya sana au nchi yetu haina wapelelezi wa watu wasiojulikana :oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops:
 
Binafsi napendekeza avuliwe ubunge kwani hahudhurii vikao, anaruka from one capital city to the next huku tukimlipa mshahara, hivyo avuliwe Ubunge na apelekewe bili arudishe Mshahara tuliomlipa bila ya kazi, maana Ugonjwa umeisha!
Ingekuwa ni baba yako ungekuja na ujinga huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi napendekeza avuliwe ubunge kwani hahudhurii vikao, anaruka from one capital city to the next huku tukimlipa mshahara, hivyo avuliwe Ubunge na apelekewe bili arudishe Mshahara tuliomlipa bila ya kazi, maana Ugonjwa umeisha!
Pendekezo lako zuli kwa kiwango kikubwa sana , lakini vip na kuhusu upelelezi wa kupigwa Risasi kwa TL vip ulitoa pendekezo gani?
 
Hakuna sababu ya msingi yakumfanya hivyo unavyofikiria wewe.na umesahau kuwa kigoda bila miguu mi 4 hakijakamilika.
 
Binafsi napendekeza avuliwe ubunge kwani hahudhurii vikao, anaruka from one capital city to the next huku tukimlipa mshahara, hivyo avuliwe Ubunge na apelekewe bili arudishe Mshahara tuliomlipa bila ya kazi, maana Ugonjwa umeisha!

Uko sawa sana. Sasa fanyeni hivi, hizo mnazilomlipa jumlisheni kwenye zile 1.5t mlizopiga ili iwe ni sehemu ya matumizi mabovu ya pesa zetu
 
Back
Top Bottom