Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu? Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?

Watetezi wa chama hawa ni vichwa maji kabisa.
Yani ni vichwa maji hasa...wanataka kutetea kila jambo, miaka 50 ya Uhuru bado taifa masikini, 80% wanaishi chini ya 2500 kwa siku, na bado wanaona wana haki ya kuongoza nchi! Worse wanataka kundi LA 2500 kwa siku liongezeke ili wajenge uchumi, yani MTU anaishi chini ya 2500 anakuwaje soko? Au wanataka hata hiyo elfu 2500 waigawane! Sio ukichaa ni nini? Kwakweli Mimi CCM nimeichoka sana...hata wakisema wa marekani wanataka kuindoa ni sawa tu. Tumechoka umasikini.
 
Wachina hawakuweza kufanya uwekezaji kwa kutumia watu wao na natural resources zao za ndani licha ya kwamba wana natural resources za ndani nyingi maradufu kuizidi Tanzania. Ni Ulaya na America waliwekeza heavily ina China. Mpaka leo China inaongoza kwa kuvutia FDI toka Ulaya. Wachina mpaka leo, kila mara mkuu wao wa nchi yupo Ulaya kutafuta wawekezaji lakini Watanzania wanaoamini China imeendelea sana wanaona hakuna haja ya uwekezaji wa kimataifa!! Ama kweli watanzania wengi elimu yao ni ya kujua kuandika tu lakini siyo ya kutafakari na kuchambua.

Waustralia hawakuweza. Walihitaji uwekezaji mkubwa toka UK.

South Korea hawakuweza. Ni US iliwekeza heavily in South Korea. North Korea walioamini wanaweza kuwekeza wenyewe ndani kwa ndani, mpaka leo wanasumbuliwa na ukosefu wa mahitaji muhimu kama chakula!

Ni uwekezaji mkubwa Wa US ndio ulioibadili Mexico.

When you are in poverty cycle, you need an external force to break the loop.

Sasa hivi uwekezaji umeporomoka toka 28% ya 2015 mpaka 4%; ukuaji wa utalii umeporomika toka 15% mwaka 2015 mpaka 3.6%. Labda uwe na dosari fulani kichwani ndiyo utaamini kuwa eti kuna misingi ya uchumi inajengwa! Lakini siyo jambo la ajabu - wapo Wazimbabwe mpaka leo wanaamini kuwa Mugabe ameweka msingi mzuri wa Zimbabwe kujitegemea kuliko kuwategemea mabeberu.

Obviously umeandika jinsi vile unavyofahamu wewe na upeo wako. Nitakupa mfano kuna nchi kama Sweeden walisaidiwa na nani kuwa hapo walipo? Sisi Watanzania tunakosa uzalendo maneno mengi vitendo sifuri. Kila mtu anataka kuwa bosi wakati uwezo wa kuwa bosi hana. BWM aliwapa SA shirika la Ndege na Tanesco ili kuwawezesha. Je Hayo makampuni yalifikishwa wapi?

Watu waligawana viwanda alivyoacha mwalimu kama njungu, kiwanda cha Urafiki, Sungura Textile, Mwanza Textile, Matshuta Electric, viwanda vya kuzalisha mafuta sabuni na manukato vilivyokuwa Tanga, Morogoro etc. Ni ujuha na ulofa tu wa kufikiri anayeweza kuleta maendeleo kwenye nchi yetu ni mtu mweupe kutoka ulaya etc.

At the moment Tanzania have got the means and control to develop this country without the shenanigans given by the West. Pengine wengi hamfahamu utajiri ambao tunao na uwezo wa wasomi wetu hadi hivi sasa. Charity begins at home.


BTW there is no formula for development, you need to be focussed on your intentions without fail using the rules and laws which plays on a fair playing ground for all involved. Tanzania will never develop depending on Europeans or Americans. Only Tanzanians themselves can do that.

BTW unaongelea national debt, hivi umeangalia graph ya deni letu la taifa au unakariri ulivyoambiwa na Zito et al.
 
Wanabodi,

Wanabodi, Ijumaa ya leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikiulizia kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Bandiko hili ni la swali moja kuu, kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu?. Namna mzuri ya kuhamasisha FDI ni kupitia kwenye ziara za nje za rais, tuliona kwa JK, tukaona kwa Kagame na sasa tunaona kwa Uhuru, jee rais wetu Magufuli aendelee tuu kujifungia ndani tukitumai hizi FDI zitatufuata zenyewe?.

Msimamo wa Rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli , JPM, wa kutosafiri nje una maslahi kwa taifa kwenye hili, hivyo kama tunategemea FDI kutoka nje, lazima rais Magufuli akubali kutoka awafuate ili kuvutia FDI zao au azidi kushikilia msimamo, tukomae nao, kwa hoja ya mgonjwa ndio hufuata mganga, kama wana shida waje?.

Kwa wavivu wa kusoma makitu marefu, tuishie hapa, wengine tuendeleeni

Tena nashauri, baada ya Uchaguzi Mkuu ujao, yule kijana "pendwa" asipogombea ubunge popote, rais amteue tuu awe Mbunge wa kuteuliwa amfanye deputy wa MFA, na ataandamana nae UNGA, halafu tupimane ubavu na kubwa la mabeberu, nani zaidi kati ya Hapa Kazi akiongozana na Dogo Janja na Pempei na Kubwa Jinga!.

Tena kwa sasa bara zima ka Africa tuko kwenye kukamilisha kusaini African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Agreement, lakini sisikii Tanzania tunajipangaje. Hivyo Kenya akisaini FTA na Marekani, then njia ya bidhaa za Africa Mashariki kuingia Marekani ni kupitia Kenya.

Hitimisho, kwa vile nimesema mengi humu, naomba kumalizia na lile swali la msingi la hoja hii kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu, kuna umuhimu kwa rais wetu kusafiri nchi katika ziara za kimkakati ili kuvutia FDI?.

Kwa wale wa swala, Ijumaa Kareem
Kwa sisi wengine, Furahi Dei Njema

Paskali

Big No, sio mitaji tu hata technolojia, malighafi, uongozi na masoko yako huko kwa mabeberu mfano kama madini, gas, malighafi tutawauzia hao jamaa lakini wao technolojia wamepiga hatua na hatuna haja leo hii kuanza uwimbombo na wilindi wakati beberu alishagundua kiberiti.

Raisi wetu sijui kama anaona kama tunavyoona sie hasa katika FDI na vyanzo rahisi zaidi vya financing business. its cheaper to borrow kuliko kutumia own resources na hapa ndio bwana mkubwa hajaelewa kabisa na hataki kuelewa.

Bwana mkubwa yuko too mechanical anahitaji sana kueleweshwa vitu vya msingi ili kutusua kilaini ametumia mabavu kwa miaka 4 anahitaji greese sasa kuliko kutukuzwa na wasaidizi wake na wanaomzunguka. Jamaa anahitaji washauri wasio muogopa hata kama anapenda kuogopwa.
 
Umeandika umeeleza mawazo yako, swali langu nchi gani wananchi wanajiendeleza kiuchumi bila Sera dhabiti za kiuchumi kuwekwa na serikali? Unajua nchi za kibepari zimejijenga vipi? Au unaona matokeo ya leo tu? Hamna taifa linaendelea au watu wake wanaendelea bila Sera wezeshi za serikali, HAIPO na HAITATOKEA! Soma historia ya mataifa yaliyoendelea na Ku break poverty chains, kuanzia south korea, marekani yenyewe, China uone kama serikali hazina Mchango! Tuna fail sababu viongozi hawajui wanataka kulipeleka taifa wapi kwa Sera zipi za uchumi!

What are you talking about?
Ivi unamjua strive masiyiwa? Unajua ametoka nchi ambayo hata official currency ya nchi hawana? Unalijua ilo
 
Huwezi ukajenga uchumi wa viwanda kwa kuuwa private sector, kwa kuuwa demokrasia, kwa kuuwa diplomasia,kwa kuzuia mzunguko wa pesa
 
Wanabodi,

Wanabodi, Ijumaa ya leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikiulizia kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Bandiko hili ni la swali moja kuu, kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu?. Namna mzuri ya kuhamasisha FDI ni kupitia kwenye ziara za nje za rais, tuliona kwa JK, tukaona kwa Kagame na sasa tunaona kwa Uhuru, jee rais wetu Magufuli aendelee tuu kujifungia ndani tukitumai hizi FDI zitatufuata zenyewe?.

Msimamo wa Rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli , JPM, wa kutosafiri nje una maslahi kwa taifa kwenye hili, hivyo kama tunategemea FDI kutoka nje, lazima rais Magufuli akubali kutoka awafuate ili kuvutia FDI zao au azidi kushikilia msimamo, tukomae nao, kwa hoja ya mgonjwa ndio hufuata mganga, kama wana shida waje?.

Kwa wavivu wa kusoma makitu marefu, tuishie hapa, wengine tuendeleeni

Tena nashauri, baada ya Uchaguzi Mkuu ujao, yule kijana "pendwa" asipogombea ubunge popote, rais amteue tuu awe Mbunge wa kuteuliwa amfanye deputy wa MFA, na ataandamana nae UNGA, halafu tupimane ubavu na kubwa la mabeberu, nani zaidi kati ya Hapa Kazi akiongozana na Dogo Janja na Pempei na Kubwa Jinga!.

Tena kwa sasa bara zima ka Africa tuko kwenye kukamilisha kusaini African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Agreement, lakini sisikii Tanzania tunajipangaje. Hivyo Kenya akisaini FTA na Marekani, then njia ya bidhaa za Africa Mashariki kuingia Marekani ni kupitia Kenya.

Hitimisho, kwa vile nimesema mengi humu, naomba kumalizia na lile swali la msingi la hoja hii kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu, kuna umuhimu kwa rais wetu kusafiri nchi katika ziara za kimkakati ili kuvutia FDI?.

Kwa wale wa swala, Ijumaa Kareem
Kwa sisi wengine, Furahi Dei Njema

Paskali


Kwanza ni kutuelezea Beberu ni nani? hili ni jina ambalo limekuwa likitumika lakini tupe maana yako ili tujue unawaongelea watu gani au nchi gani?. Beberu ni mfumo, nchi au nini?
 
Obviously umeandika jinsi vile unavyofahamu wewe na upeo wako. Nitakupa mfano kuna nchi kama Sweeden walisaidiwa na nani kuwa hapo walipo? Sisi Watanzania tunakosa uzalendo maneno mengi vitendo sifuri. Kila mtu anataka kuwa bosi wakati uwezo wa kuwa bosi hana. BWM aliwapa SA shirika la Ndege na Tanesco ili kuwawezesha. Je Hayo makampuni yalifikishwa wapi?

Watu waligawana viwanda alivyoacha mwalimu kama njungu, kiwanda cha Urafiki, Sungura Textile, Mwanza Textile, Matshuta Electric, viwanda vya kuzalisha mafuta sabuni na manukato vilivyokuwa Tanga, Morogoro etc. Ni ujuha na ulofa tu wa kufikiri anayeweza kuleta maendeleo kwenye nchi yetu ni mtu mweupe kutoka ulaya etc.

At the moment Tanzania have got the means and control to develop this country without the shenanigans given by the West. Pengine wengi hamfahamu utajiri ambao tunao na uwezo wa wasomi wetu hadi hivi sasa. Charity begins at home.


BTW there is no formula for development, you need to be focussed on your intentions without fail using the rules and laws which plays on a fair playing ground for all involved. Tanzania will never develop depending on Europeans or Americans. Only Tanzanians themselves can do that.

BTW unaongelea national debt, hivi umeangalia graph ya deni letu la taifa au unakariri ulivyoambiwa na Zito et al.
You can not support all these with an empty hand or hungry. A hungry man is always angry, someone deprived of a basic necessity will not be easily placated
 
You can not support all these with an empty hand or hungry 'a hungry man is always angry' someone deprived of a basic necessity will not be easily placated

Tatizo WTZ wengi walijisahau, wanafikiri jinsi ya kupiga dili bila kufanya kazi ambazo ndio msingi wa maendeleo. Ukitaka kula na kulala kama mfalme lazima ufanye kazi sio kutegemea ulanguzi.
 
Huwezi ukajenga uchumi wa viwanda kwa kuuwa private sector, kwa kuuwa demokrasia, kwa kuuwa diplomasia,kwa kuzuia mzunguko wa pesa

Wapi JPM amezuia mzunguko wa pesa? Vile vile ni ''private sector'' ipi ambayo JPM ameiua, toa ushahidi hapa tafadhali wacha porojo na hadithi za Abunuwasi.
 
Tatizo WTZ wengi walijisahau, wanafikiri jinsi ya kupiga dili bila kufanya kazi ambazo ndio msingi wa maendeleo. Ukitaka kula na kulala kama mfalme lazima ufanye kazi sio kutegemea ulanguzi.
Kuna mwenye njaa yeyeto amewahi kuwa mvivu afe njaa.Au shughuli zenyewe hazipo ulizia mafundi uelewe,ulizia mama lishe,machinga.Mzunguko ndio uchumi kama haupo utaishia kutwanga kinu maji haviuziki
 
Wapi JPM amezuia mzunguko wa pesa? Vile vile ni ''private sector'' ipi ambayo JPM ameiua, toa ushahidi hapa tafadhali wacha porojo na hadithi za Abunuwasi.
Unajua tafsiri ya neno kuisoma namba au vyuma kukaza kiuchumi. Nikupe jibu kuisoma namba ni kuuwa sector binafsi na kukaza vyuma ni kuondoa au kupunguza mzunguko wa fedha mtaani,lengo kuu huwa ni kuwafanya wengi wawe masikini ili uwatawale,hizi ni falsafa za mfumo wa kijamaa yaani chama kimoja. Kusema watu walikuwa wanapiga dili ni matusi,sasa wakulima wa korosho na mbaazi walipiga dili wapi,wavuvi wanaolia kukosa soko hizo dili walizipigia wapi,je vibarua wanaokosa kazi za tempo walipiga dili wapi
 
Obviously umeandika jinsi vile unavyofahamu wewe na upeo wako. Nitakupa mfano kuna nchi kama Sweeden walisaidiwa na nani kuwa hapo walipo? Sisi Watanzania tunakosa uzalendo maneno mengi vitendo sifuri. Kila mtu anataka kuwa bosi wakati uwezo wa kuwa bosi hana. BWM aliwapa SA shirika la Ndege na Tanesco ili kuwawezesha. Je Hayo makampuni yalifikishwa wapi?

Watu waligawana viwanda alivyoacha mwalimu kama njungu, kiwanda cha Urafiki, Sungura Textile, Mwanza Textile, Matshuta Electric, viwanda vya kuzalisha mafuta sabuni na manukato vilivyokuwa Tanga, Morogoro etc. Ni ujuha na ulofa tu wa kufikiri anayeweza kuleta maendeleo kwenye nchi yetu ni mtu mweupe kutoka ulaya etc.

At the moment Tanzania have got the means and control to develop this country without the shenanigans given by the West. Pengine wengi hamfahamu utajiri ambao tunao na uwezo wa wasomi wetu hadi hivi sasa. Charity begins at home.


BTW there is no formula for development, you need to be focussed on your intentions without fail using the rules and laws which plays on a fair playing ground for all involved. Tanzania will never develop depending on Europeans or Americans. Only Tanzanians themselves can do that.

BTW unaongelea national debt, hivi umeangalia graph ya deni letu la taifa au unakariri ulivyoambiwa na Zito et al.
Nipe kimoja tu alichosimamia mswahili kimesimama.Hata nyerere mwenyewe alikiri alifanya makosa kutaifisha biashara za watu na zikawa mzigo ikabidi aendeshe kwa ruzuku hadi Ben alipozibinafisha kuwapa watu binafsi angalau yakaanza kuzalisha. Hivi wewe unawajua waswahili kuliko Nyerere ambae nae alijifanya mbishi kutosikiliza ushauri wa Kambona alikuja muelewa Kambona tayari kumekuchwa uchumi ukiwa umekufa.Nyerere hakuwahi fanikiwa kuzalisha uchumi bali alitumia ziada ya misingi ya pesa alizoachiwa na mkoloni.Serikali haiwezi Fanya biashara ikafanikiwa itapigwa tu.Jamaa yako alipaswa ajifunze kutorudia makosa aliyofanya nyerere yaani monopolization and centralization bali yeye anafanya the same mistake alizofanya Nyerere at the end majibu ujulikana
 
Unajua tafsiri ya neno kuisoma namba au vyuma kukaza kiuchumi. Nikupe jibu kuisoma namba ni kuuwa sector binafsi na kukaza vyuma ni kuondoa au kupunguza mzunguko wa fedha mtaani,lengo kuu huwa ni kuwafanya wengi wawe masikini ili uwatawale,hizi ni falsafa za mfumo wa kijamaa yaani chama kimoja. Kusema watu walikuwa wanapiga dili ni matusi,sasa wakulima wa korosho na mbaazi walipiga dili wapi,wavuvi wanaolia kukosa soko hizo dili walizipigia wapi,je vibarua wanaokosa kazi za tempo walipiga dili wapi

serikali haiwezi kupunguza mzunguko wa ela kwa sababu hawamiliki pesa! kwa mfano mwananchi ana uwezo wa kufanya kazi au anaweza kutrade dola kwa tsh , unaweza kufanya kazi ukalipwa kwa dolla ama aina yoyote ya pesa, na pia serikali haimiliki pesa, yenyewe inategemea kodi kujiendesha ingekua wana pesa wala wasingewasumbua na kodi

mwenye maamuzi ya mzunguko wa pesa kwenye maisha ni wewe binafsi, unaweza kufanya shuhuli zako na usijihusishe na political influence: mfano bitcoin ni free trade duniani haina influence yoyote ya central bank wala serikali, kazi kwako!
 
Consumption inategemea population au income? Mbona unakuwa mjinga wewe? Watu wengi wasiokuwa na income wanafaida gani? Nenda kasome soko LA Finland jinsi lilivyo na nguvu kuliko nchi zote za United Arab Emirates na wapo mil 5 tu ndio uje u parade ujinga wako hapa!

haiwezekani uwe hai na huna income! there must be a way u get your income to feed your needs ikiwepo chakula
 
Nipe kimoja tu alichosimamia mswahili kimesimama.Hata nyerere mwenyewe alikiri alifanya makosa kutaifisha biashara za watu na zikawa mzigo ikabidi aendeshe kwa ruzuku hadi Ben alipozibinafisha kuwapa watu binafsi angalau yakaanza kuzalisha. Hivi wewe unawajua waswahili kuliko Nyerere ambae nae alijifanya mbishi kutosikiliza ushauri wa Kambona alikuja muelewa Kambona tayari kumekuchwa uchumi ukiwa umekufa.Nyerere hakuwahi fanikiwa kuzalisha uchumi bali alitumia ziada ya misingi ya pesa alizoachiwa na mkoloni.Serikali haiwezi Fanya biashara ikafanikiwa itapigwa tu.Jamaa yako alipaswa ajifunze kutorudia makosa aliyofanya nyerere yaani monopolization and centralization bali yeye anafanya the same mistake alizofanya Nyerere at the end majibu ujulikana

dunia imebadilika shehe! both private na public znakufa, ushindan saahv ni mkubwa sana hakuna cha private wala public, cha muhimu strategies nzuri
 
Unajua tafsiri ya neno kuisoma namba au vyuma kukaza kiuchumi. Nikupe jibu kuisoma namba ni kuuwa sector binafsi na kukaza vyuma ni kuondoa au kupunguza mzunguko wa fedha mtaani,lengo kuu huwa ni kuwafanya wengi wawe masikini ili uwatawale,hizi ni falsafa za mfumo wa kijamaa yaani chama kimoja. Kusema watu walikuwa wanapiga dili ni matusi,sasa wakulima wa korosho na mbaazi walipiga dili wapi,wavuvi wanaolia kukosa soko hizo dili walizipigia wapi,je vibarua wanaokosa kazi za tempo walipiga dili wapi

Nimekwambia leta ushahidi wewe unazunguka mbuyu. Wacha porojo!
 
Nipe kimoja tu alichosimamia mswahili kimesimama.Hata nyerere mwenyewe alikiri alifanya makosa kutaifisha biashara za watu na zikawa mzigo ikabidi aendeshe kwa ruzuku hadi Ben alipozibinafisha kuwapa watu binafsi angalau yakaanza kuzalisha. Hivi wewe unawajua waswahili kuliko Nyerere ambae nae alijifanya mbishi kutosikiliza ushauri wa Kambona alikuja muelewa Kambona tayari kumekuchwa uchumi ukiwa umekufa.Nyerere hakuwahi fanikiwa kuzalisha uchumi bali alitumia ziada ya misingi ya pesa alizoachiwa na mkoloni.Serikali haiwezi Fanya biashara ikafanikiwa itapigwa tu.Jamaa yako alipaswa ajifunze kutorudia makosa aliyofanya nyerere yaani monopolization and centralization bali yeye anafanya the same mistake alizofanya Nyerere at the end majibu ujulikana

Usiongelee Ben mwizi ambaye mikononi mwake ATCL ilikufa, TANESCO ilikuwa iko intensive care magenerator yalikuwa kwenye kila duka, mgao wa umeme kama kawa, wacha uswahili. Kwanza wewe hukumfahamu mchonga ki-vile unahadithiwa tu.
 
Back
Top Bottom