RWEYONGEZA MUTTA
Member
- Oct 12, 2012
- 52
- 10
Jamani mimi swali langu na msaada ninaotaka toka kwenu ni je tunaweza kuchalenji sheria inayoregulate mabadiliko ya katiba na ni kwa namna gani naweza kuichalenji sheria inayofanya marekebisho ya katiba!!? Kimbunga hicho jamani!!!!!