Je tunaitaji aina nyingine ya condom

BABA JUICE

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
426
52
Ni majuzi tu nimeona aina nyingine ya condom imezindukiwa hapa tanzania...hii inamaaisha biashara ya ngono inalipa na watanzania wengi wanatumia condom....ndio condom inasaidia kupunguza maambukizi...lakini je tunaitaji aina nyingine ya condom?ujio huu unamaanisha mambomengi.
 
Ni majuzi tu nimeona aina nyingine ya condom imezindukiwa hapa tanzania...hii inamaaisha biashara ya ngono inalipa na watanzania wengi wanatumia condom....ndio condom inasaidia kupunguza maambukizi...lakini je tunaitaji aina nyingine ya condom?ujio huu unamaanisha mambomengi.

yaaa ikiwezekana safari hii waongeze vipele vipele kwenye hizo ndomu!
 
Ni majuzi tu nimeona aina nyingine ya condom imezindukiwa hapa tanzania...hii inamaaisha biashara ya ngono inalipa na watanzania wengi wanatumia condom....ndio condom inasaidia kupunguza maambukizi...lakini je tunaitaji aina nyingine ya condom?ujio huu unamaanisha mambomengi.

zikoje hizo....nini kipya kimeongezeka?
 
Binafsi nimekuwa nina wazo nata niliuze la bidhaa mpya ya condom za ulimi.

Kwa wale wanaopenda kunyonya nyonyana ndimi na kwenda chumvini wajitayarishe zitakuja katika ladha za machungwa zabibu na ukwaju.

Niko kwenye hatua za mwisho za mchakato.

Kuna opportunities nyingi sana kwenye hii inustry ya mapenzi. wateja ni wa uhakika kama biashara ya chakula.

Teh teh teh
 
Binafsi nimekuwa nina wazo nata niliuze la bidhaa mpya ya condom za ulimi.

Kwa wale wanaopenda kunyonya nyonyana ndimi na kwenda chumvini wajitayarishe zitakuja katika ladha za machungwa zabibu na ukwaju.

Niko kwenye hatua za mwisho za mchakato.

Kuna opportunities nyingi sana kwenye hii inustry ya mapenzi. wateja ni wa uhakika kama biashara ya chakula.

Teh teh teh

naomba zikiingia uniwekee tafadhali najua zitagombaniwa........hasa hiyo ladha ya ukwaju nitaipenda zaidi
 
we bado unatumia condom,kuna dawa ukipuliza hata uingize kwenye kirusi gan akisogei ...mcheki dk manyuki kwa msaada zaidi
 
we bado unatumia condom,kuna dawa ukipuliza hata uingize kwenye kirusi gan akisogei ...mcheki dk manyuki kwa msaada zaidi

waganga wa kienyeji kwa sehemu wanachangia maambukizi ya ukimwi. acha uongo
 
Back
Top Bottom