maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Wanajamvi naamini hamjambo wote.
Nimetafakari sana huu wimbo wa awamu hii kitu kidogo hapa kazi tu, shughuli za siasa watu waachwe wafanye kazi, hivi tumekuwa maskini kwa kuwa hatukuwa tukifanya kazi?
Je ni kweli umaskini wetu umetokana kwa kuwa watu walikuwa hawafanyi kazi na sasa inabidi wafanye kazi tuondokane na umaskini?
Hebu nisaidieni mimi siwaelewi kabisa hawa jamaa.
Karibuni.
Nimetafakari sana huu wimbo wa awamu hii kitu kidogo hapa kazi tu, shughuli za siasa watu waachwe wafanye kazi, hivi tumekuwa maskini kwa kuwa hatukuwa tukifanya kazi?
Je ni kweli umaskini wetu umetokana kwa kuwa watu walikuwa hawafanyi kazi na sasa inabidi wafanye kazi tuondokane na umaskini?
Hebu nisaidieni mimi siwaelewi kabisa hawa jamaa.
Karibuni.