jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Kumekuwa na ajali nyingi sana barabarani zinazomaliza maisha ya watanzania wengi. Ajali nyingi zimekuwa zikisababishwa na
i)mwendo kasi
ii)ubovu wa magari
iii)uzembe wa madereva
Kwangu mimi imekua ikiniumiza sana kiasi kwamba muda mwingine hadi mtu unaogopa kusafiri maana kila siku lazma usikie ajali mbaya zaidi ya tatu Je!
i)serikali imechukua hatua gani kukabiliana na tatizo hili?
ii)sisi abiria tumekua na mchango gani katika kukomesha ajali hizi?
iii)kuna kipindi nilisikia mabasi yote yanafungwa spid governer...nn kilitokea mpaka zoezi hilo likashindikana?
iv)kazi ya matrafik n nn maana kama gari wanazikagua na kuziruhusu kwamba znaweza kusafir..lakin mbele ya safar gar inapata ajali then uchunguzi ukifanyika wanatuambia chanzo cha ajali ni ubovu wa gari !
Kiukwel hali ni mbaya sana maana sasa hivi ukitaka kusafiri lazma ufikirie mara mbili mbili.
i)mwendo kasi
ii)ubovu wa magari
iii)uzembe wa madereva
Kwangu mimi imekua ikiniumiza sana kiasi kwamba muda mwingine hadi mtu unaogopa kusafiri maana kila siku lazma usikie ajali mbaya zaidi ya tatu Je!
i)serikali imechukua hatua gani kukabiliana na tatizo hili?
ii)sisi abiria tumekua na mchango gani katika kukomesha ajali hizi?
iii)kuna kipindi nilisikia mabasi yote yanafungwa spid governer...nn kilitokea mpaka zoezi hilo likashindikana?
iv)kazi ya matrafik n nn maana kama gari wanazikagua na kuziruhusu kwamba znaweza kusafir..lakin mbele ya safar gar inapata ajali then uchunguzi ukifanyika wanatuambia chanzo cha ajali ni ubovu wa gari !
Kiukwel hali ni mbaya sana maana sasa hivi ukitaka kusafiri lazma ufikirie mara mbili mbili.