PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,849
Kila mtu anashuhudia mambo yanavyoendelea, kwa uelewa wangu wa katiba ya nchi hii, mwenye kinga ya madaraka ni Rais pekee, He vipi kuhusu watendaji wa Tume ya uchaguzi, hawawezi kuburuzwa korotin kwa kukiuka Sheria na Kanuni za Uchaguzi zilizoweka kwa mujibu wa katiba ya nchi hii?
Nani mwenye mamlaka ya kuishtaki tume?
NB; Kama tume inaweza kushitakiwa, naomba wanasheria wa CHADEMA na vyama makini viwashtaki hawa watendaji katika mahakama ya katiba kabla hawajasababisha fujo zisizo za lazima
Nani mwenye mamlaka ya kuishtaki tume?
NB; Kama tume inaweza kushitakiwa, naomba wanasheria wa CHADEMA na vyama makini viwashtaki hawa watendaji katika mahakama ya katiba kabla hawajasababisha fujo zisizo za lazima