GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Mkiambiwa kuwa muwe mnaheshimu ' Utaalam ' wa Watu wengine muwe mnasikia. Sasa Mburundi na akina Mgunda na Matola wameshatuziba Midomo yetu mikubwa na mirefu kama Chuchunge ambayo kila Uchao imejaa tu Majungu, Lawama na Kelele tupu wakati hata Leseni D tu za Ukocha hatuna halafu tukiwa Mitandaoni na Redioni au Vijiweni tunajifanya ni Wachambuzi wazuri mno.
Kocha Ndayiragije ametuumbua wengi kweli kweli hasa kuhusu Kumjumuisha Kikosini Mshambuliaji Betram Nchimbi tena dakika za mwisho kabisa baada ya Kutufunga Sisi Yanga SC Magoli Matatu peke yake ( Hat Tricks ) Temeke Shamba la Bibi na hadi akaondoka na Mpira wake. Kuna tuliokuwa tukisema alivyotufunga Yanga SC alibahatisha je, na alivyotupeleka CHAN 2020 jana nchini Cameroon kwa Kufunga Goli lake la Ushindi pia alibahatisha?
Tukome!.
Kocha Ndayiragije ametuumbua wengi kweli kweli hasa kuhusu Kumjumuisha Kikosini Mshambuliaji Betram Nchimbi tena dakika za mwisho kabisa baada ya Kutufunga Sisi Yanga SC Magoli Matatu peke yake ( Hat Tricks ) Temeke Shamba la Bibi na hadi akaondoka na Mpira wake. Kuna tuliokuwa tukisema alivyotufunga Yanga SC alibahatisha je, na alivyotupeleka CHAN 2020 jana nchini Cameroon kwa Kufunga Goli lake la Ushindi pia alibahatisha?
Tukome!.