Ngoja watuambia katika manifesto walituahidi nini. Hapo maji shida, shule tabu,waalimu hamna, vitabu issue,hospitali ndio usiombe. Mkuu upo, tulikumiss.
Na bado wanaambiwa nchi yenu ina maliasili nyingi ina Tanzanite iko Tz pekee ina Dhahabu,Uranium,Mafuta,Gesi Nchi yetu ina mlima mrefu kuliko yote Africa uitwao Kilimanjaro. Wanasikia kwenye Tv raisi leo kaenda Marekani na ujumbe wa watu 70 watakaa huko siku 8. Tanzania ina Maziwa Matatu Victoria,Nyasa na Tanganyika ?????? Hawa watoto wana maswali mengi sana kichwani ambayo majibu yake hawatakuja yapata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.