Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,559
- 47,002
Habari wakuu,
Rejea kichwa cha habari,
Hebu toa maoni yako ,hii ni baada ya kusikia kituo cha sheria na haki za binadamu(legal human right center LHRC) kutoa tamko juu ya TUCTA kupoteza muelekeo katika kusimamia na kulinda maslai ya wafanyakazi je nini maoni yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea kichwa cha habari,
Hebu toa maoni yako ,hii ni baada ya kusikia kituo cha sheria na haki za binadamu(legal human right center LHRC) kutoa tamko juu ya TUCTA kupoteza muelekeo katika kusimamia na kulinda maslai ya wafanyakazi je nini maoni yako.
Sent using Jamii Forums mobile app