Songuo Member Sep 28, 2012 9 1 Oct 27, 2018 #1 Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine iliyotokana na kosa la barabarani? Je, hiyo ni kazi ya traffic poice au ya TRA? Naomba na reference tafadhali ikiwezekana!
Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine iliyotokana na kosa la barabarani? Je, hiyo ni kazi ya traffic poice au ya TRA? Naomba na reference tafadhali ikiwezekana!
Aza JF-Expert Member Feb 23, 2010 1,700 226 Mar 15, 2019 #3 hakuna muelekeo wala muongozo kila kitu ni mihemko tu tupambane tu hakuna wa kumsaidia raia