Je, tofauti na homa ya Maleria ni kweli mbu anaweza kukuambukiza Ugonjwa wa Busha na Matende?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
May 3, 2020
2,416
3,911
Wakuu naomba mnijuze maana mimi mimi ndo nimeskia leo! Nilikuwa sina habari, Na Mbu huyo anakuwa Amemuuma mtu mwenye hayo magonjwa hapo juu,

Kisha akikuuma na wewe pia lazima uugue, pia naomba kujua dalili zake na pia tiba au chanjo.
 
Tiba ya busha ni upasuaji, tiba ya matende sijawai sikia nachojua ipo kinga yake. Dalili za magonjwa yote ni uvimbe sehemu husika,kwenye busha korodani zitajaa maji na maumivu kiaisi na upande wa matende miguu itavimba na kuwa mizito.

Kuhusu mbu kuambikiza sina hakika japo nilisikia miaka 5 iliyopita.
 
Tiba ya busha ni upasuaji, tiba ya matende sijawai sikia nachojua ipo kinga yake. Dalili za magonjwa yote ni uvimbe sehemu husika,kwenye busha korodani zitajaa maji na maumivu kiaisi na upande wa matende miguu itavimba na kuwa mizito.

Kuhusu mbu kuambikiza sina hakika japo nilisikia miaka 5 iliyopita.
Ndio inaambukizwa na mbu Aina ya aedes ambao hubeba vimelea wadogo (microfillaliae) kutoka kwa muathirika mmoja na kumpa mtu mwingine specie zinazobebwa ni (wucherelia bancrofti, brugia malayi na brugia timori).
 
Ndio inabukizwa na mbu Aina ya aedes ambao hubeba vimelea wadogo (microfillaliae) kutoka kwa muathirika mmoja na kumpa mtu mwingine specie zinazobebwa ni (wucherelia bancrofti, brugia malayi na brugia timori)
Asante kwa elimu.
 
Back
Top Bottom