SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,779
- 3,401
Mimi hata elfu 10 hamna kabisa na nyumba imesimama vyema fundi nilimuita nikamueleza nataka hivi na hivi na hivi na yeye akaongezea duuuh MBONA MAMBO MAZURI IMESIMAMA MPAKA JIRANI KANIULIZA HII RAMANI MBONA BEI SANA!!! Nilimwambia ndio 500k kumbe BURE TU
ila mwisho wa siku kila mtu ana njia zake mimi nilienda kwa kampuni kabisa nanilikua najenga ghorofa so nilikua muoga wa kuharibu mambo