Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

Nyumba ya vyumba vitatu kwa wastani ina urefu wa mita 15 na upana mita 10. So mzingo ni kama (15x4) + (10x4) = 100 meter.
Hii ina maana kuta zote za nyumba ukizijumlisha na kuziweka kwenye mstari mnyoofu zitachukua urefu wa mita mia. Kila mita ina kula tofali mbili. Nyumba itahitaji urefu wa tofali kumi. So kwa ujumla matofali yatayotumika ni 100x2x10 = 2,000. Kwa kusimamisha.
Uki adjust uwepo wa milango na madirisha, 2,000 x.75 = 1,500.
Iwapo msingi zitaingia kozi 6 kwa wastani, 100x6x2 = 1,200.
So 1,500 + 1,200 = 2,700.
Hapo kuna kozi tatu baada ya linta: 100×2×3 = 600.
In total utahitaji tofali around 3,300.
Umenipa Elimu Bora SANA

ASANTE

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Unaenda mbali sana, ramani siku hizi tunapata kwa 10K.
Kadri siku zinavyoenda ndio umuhimu wa ramani zenu unapungua, watu waliosoma Civil Eng nao wanachora ramani siku hizi, architects nao wanachora unakuta mpaka masela wangu wa electrical nao wamo. Yaani ilimradi vurugu tu.

Auto CAD na zinginezo zimekuwa kimeo, kuna jamaa yangu kasoma account naye saiv anachora ramani tena za hali ya juu.

Sikukatishi tamaa ila hiyo bei umeweka kwa matarajio makubwa sana
Unaweza kuniunganisha nae mshikaji wako
 
Mkuu umenikumbusha juzi kuna dogo kaja kwenye duka langu la dawa akaniambia yeye ni famasisti anatafuta kazi ila mshahara lazima uwe 1m na atakuwa anakaaa mara mbili tu kwa wiki. Nikamuuliza mbona gharama iko juu akasema ndio walivyokubaliana chuoni kwamba mtu asikubali chini ya hapo. Nikambia sawa na kwa kuwa sijakutafuta basi sikuhitaji wewe endelea kupokea mshahara huo huo wa 1m mliokubaliana huko chuoni. Baadae akaniomba maji ya kunywa nikamwmbia yanauzwa 500 akasema hana hiyo hela. Nikaendelea kimsisitiza atumie sehemu ya huo mshahara waliokubaliana huko chuoni kwao. Naona hakunielewa vijana siku hizi hawaelewi kabisa dunia inapokwenda
za kuambiwa changanya na zako 🤣😂
 
Unatafuta uhalali au unatafuta market price?
Market price 10 to 50 Gs unapata michoro ya manispaa. Thats a fact, na inapitishwa.
Sasa kwanini mtu atoe milioni wakati utampa mchoro uleule?
Na wala hatoutumia?
Mi nakuelewa sana mkuu
 
Aisee pale Kamanga (mwanza) kuna jamaa amechora ramani zake kwa mkono (kwenye karatasi za A3) anakuuzia kwa 10K na hesabu anakupa kuanzia tofali, bati, mifuko ya cement, kokoto, mbao na mazaga mengine yote. Wewe unasema tu unataka ramani iwe na nini na nini
naweza kupata mawasiliano yake mkuu? Nahitaji Ramani sana
 
Back
Top Bottom