LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 245
Kwa hizi takwimu TFF Watueleze inamaanisha uwezo wa uwanja wa Mkapa ni mkubwa kuliko Estadio Camp Nou F.C. Barcelona ambayo inabeba mashabiki 99,354 au Rungrado May Day Stadium wa huko Korea ya kaskazini wenye uwezo wa kubeba mashabiki 150,000 au uwanja wa Wembley wa nchini Uingereza ambao unashika nafasi ya nane 8 Kwa ukubwa dunian kwa takwimbu za october 2020 yaani kwa Afrika imeupita hata Uwanja wa Soccer City unabeba washabiki 94,736?
Yaan Benjamin Mkapa National Stadium inabeba mashabiki 274,273 yaani Laki mbili elf sabini na Nne mia mbili sabini na tatu. Tafadhali TFF tuelezeni hizi takwimu wamezipataje?
NB: MKIWA WA TAALAMU WA KUPIKA TAKWIMU BASI MUWE MAKINI SANA
Reference
Yaan Benjamin Mkapa National Stadium inabeba mashabiki 274,273 yaani Laki mbili elf sabini na Nne mia mbili sabini na tatu. Tafadhali TFF tuelezeni hizi takwimu wamezipataje?
NB: MKIWA WA TAALAMU WA KUPIKA TAKWIMU BASI MUWE MAKINI SANA
Reference
The 10 Largest Football Stadiums in the World (Soccer)
www.google.com