hata kama mkopo sina lakini watoe tu tujue mojaDuuuuh kama Hajatoka now Bora Uahirishe tu...
Maan Hata ukienda Mkopo nao Huna
Habari wana jf,
Naomba kuuliza TCU wanatoa lini matokeo ya wenye diplama kwenda degree raundi ya nne maana siku zinaenda wenzetu wanaendelea kusoma......
UHAKIKA MKUU?Kesho
WE ACHA TU WANAKERA SANA....YAANI HAPA MPAKA KICHWA KINAUMAWengine tushakata tamaa Na hawa watu
WE ACHA TU WANAKERA SANA....YAANI HAPA MPAKA KICHWA KINAUMA
Umezipata wapi hizo newswanawaunganisha na round 5
nimepata mkuu...Heb ingia kwa profl ako nw
Heb ingia kwa profl ako nw
Gud kaka imefunguliwa jana
usitake kujua nimezitoa wap mzeee kuna watu tuliwaaambia apa kuna 3rd na 4th round wakabishaUmezipata wapi hizo news
Kwa huu mwaka sielewi. Ila mwaka jana iliwezekana.Hivi naeza nikafanya transfer wakati nmeshasajiliwa katika Chuo ambacho nataka kuhama?