Watu wametransfer na namba ya usajiri wameshapewa tokea mda mrefu tu na wameshaanza kusoma .sas kama syatem inakataa hizo namba za usajiri zimetokaje. Na sio mmoj niliyemuna mimi wapo weng sana tu waliotransfer na kufanyiwa usajiri yan ukishafanyiw usajiri chuoni kinachobak ni TCU tu kukuweka kweny record zao kuwa upo chuo gani permanentHakuna mtu anaruhusiwa...kusajiliwa mara mbili... System inakataa... Unasema eti washasajiliwa wanasubiri tcu kufuta usajil mmoja...
Haupo uo utaratibu... Watu wasingetransfer sasa... Si wangekuwa wanajisajiri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi jamaa yangu kakubaliwa na chuo na namba ya usajiri akapewa na akapew na control no yakulipia labda hcho chuo ni chaprivate maana ndo waoga waoga sana hao ila huyo jamaa wako ajue tu namba ya usajiri washamuwekea ila tu hawataki kumpa nao wanasubir uhakika zaidi hiyo isitoshe ni kutokan na idadi ya wanafunzi wao itakuwa wapo wengi sana.yeye jamaa yangu kakubaliwa na chuo na anasomakbs ila hawajampa namba ya usajili bado wanasema wanasubiri approval ya TCU,
Sasa ndio usiseme kuwa wamesajiliwa na wanasubiri tcu wafute usajir iyo kauli ndio nimeipinga mim...Watu wametransfer na namba ya usajiri wameshapewa tokea mda mrefu tu na wameshaanza kusoma .sas kama syatem inakataa hizo namba za usajiri zimetokaje. Na sio mmoj niliyemuna mimi wapo weng sana tu waliotransfer na kufanyiwa usajiri yan ukishafanyiw usajiri chuoni kinachobak ni TCU tu kukuweka kweny record zao kuwa upo chuo gani permanent
Sas unakataa nini wakati watu tunao chuon na wameshasajiliwa ,sas mfano ni huyu jamaa yangu mmoja katoka udsm alikuwa kashamaliza na usajiri kabisa full baadae akapat transfer na alikohamia pia wamempa usajiri full na namba ya usajiri kapewa anawiki tatu sasa hv tokea kaanza kusoma.Sasa ndio usiseme kuwa wamesajiliwa na wanasubiri tcu wafute usajir iyo kauli ndio nimeipinga mim...
Huwez kuwa multiple registered., system inakataa na ndio maana ukitaka kutranfer ni lazima tcu ihusike
Sent using Jamii Forums mobile app
naombeni kuuliza,kama umeandika barua ya transfer ya chuo na jina lako halijatoka unafanyaje?mkuu ,naomba kuuliza , je kuna tozo zozote zile zinazohitajika mfano ada ya transfer fee ?
sijui mzee naona umefukua kaburi .naombeni kuuliza,kama umeandika barua ya transfer ya chuo na jina lako halijatoka unafanyaje?
mi nashindwa kuwaelewa kabsa..asa apo mm anafanyaje na maelekez yao yote nmefanyasijui mzee naona umefukua kaburi .
nenda chuoni ulichp omba transfer then uwa ulize kama wamekukubalia ku transfer.mi nashindwa kuwaelewa kabsa..asa apo mm anafanyaje na maelekez yao yote nmefanya