ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Nchi nyingi hasa za dunia ya tatu tunategemea bidhaa za china hivyo bidhaa za china zimeshika masoko yetu.hapa tatizo ni wafanyabiashala wengi wanapenda faida kubwa hivyo hupenda kuagiza bidhaa za bei ndogo.