Je, Tanzania tunaumiliki mlima Kilimanjaro kama USA wanavyomiliki Gand Canyon?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Ml.Kili kijiografia uko ndani ya mipaka ya nchi yetu, Je pia tunaumiliki huu Mlima au unamilikiwa na Dunia?

Je, tuna uamuzi wowote ule kuhusiana na huu Mlima?
Tuna datas zozote kuhusu Historia yake, Geology yake au hata tu hati miliki ya hilo eneo?
 
Kwanini isiwe hivyo mkuu??HII NI SAWA UNA MKE ILA HUNA UMILIKI WAKE??HII NI AJABU
 
Ml.Kili kijiografia uko ndani ya mipaka ya nchi yetu, Je pia tunaumiliki huu Mlima au unamilikiwa na Dunia? Je tuna uamuzi wowote ule kuhusiana na huu Mlima? Tuna datas zozote kuhusu Historia yake, Geology yake au hata tu hati miliki ya hilo eneo?
Kama kuna makinikia basi ujuwe unamilikiwa na acacia
 
Back
Top Bottom