Watanzania lazima tuwe na busara na hekima! Maana hii ni baraka kutoka kwa Mola!
Mimi nitakuwa sijamuelewa paskali,mbona kama hajamlinganisha na mtu yeyote sana sana amemuona kitukoPaskali pole.
Instant justice ya DAB ni hulka yake. Hata kama angekuwa na vyeti halisi, nina mashaka kama angebadilika.
Watu wenye hulka kama yake huwa hawasaidiwi na elimu ya vitabuni. Hulka hii katika aiba yao ni matokeo ya malezi na uzoefu wa ubabe unaotokana na maisha alimopotia na kukulia.
DAB amefanya kazi ya ukondakta, house boy, errand boy na mbabe wa kijiwe. Amewahi kukodiwa kutukana, kudhalilisha na hata kupiga. Ukiona haya, uwe na uhakika kuwa hulka ya kupenda kuonekana na ubabe wa kifisadi, haviwezi kubadilishwa na elimu ya vitabuni.
Ikumbukwe licha ya kununua cheti chenye jina la mtu mwingine, DAB alipita darasani kule Moshi na kuhitimu. Lakini ukiona ujenzi wa hoja zake na kiwango cha kutojitambua nafasi yake, unagundua kuwa elimu ya vitabuni haina nafasi katika usugu wa tabia aliyo nayo.
Mahojiano yake na Star TV yameonyesha wazi na kwa kweli kawaaibisha waliopanga naye mkakati wa damage control. Mathalani:
- suala la vyeti limemshinda kulieleza
- suala la kuvamia studio ameishiwa kubwabwaja maneno
- Ameshindwa kuficha chuki yake dhidi ya Nape na Gwajima
- Ameshindwa kujieleza juu ya mwanamke wa shilawadu
- Ameshindwa kueleza ni kwa nini alienda na silaha studio usiku
- Ameshindwa kujieleza kwa nini aligoma kuhojiwa na tume
- Ameendelea kujilinganisha na mawaziri
- Ameshindwa kuficha siri binafsi na za marafiki zake katika masuala ya fedha za michango
- Ametumia majigambo mengi alivyo karibu na Mungu
- kila anayepingana naye anapewa sifa ya kuuza unga
- DSM ni mkoa na mali yake, na wakazi wa Dar ni kama watoto wake!
- Vicarious liability anaitumia vibaya kuhalalisha madhambi yake
- ukitofautiana naye ni sawa na kutofautiana na Mungu
- kwake matokeo ya kazi ni bora kuliko njia za kufikia matokeo hayo
Kimsingi, DAB ni kituko na Paskali unafanya mzaha kumlinganisha na viongozi wasomi.
Yaani kututaka kuchagua kati ya kiongozi asiye na elimu lakini mchapa kazi na mwenye elimu lakini mangi meza. This is an invalid comparison. Si kila Mbashite ni mchapa kazi na si kila msomi ni mangimeza.
DAB hayuko katika makundi hayo mawili.
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali. Kufuatia mahojiano ya jana ya Daudi Albert Bashite, kwenye Star TV, imethibitishwa pasi shaka kuwa ni kweli Daudi Bashite hana vyeti vya elimu zaidi ya cheti cha darasa la saba tuu ndicho chenye jina lake la Daudi Albert Bashite alilopewa na wazazi wake pale alipozaliwa Kolomije na kusoma Shule ya Msingi ya Kolomije.
Mahojiano hayo yamezua mjadala mkali huku kwenye mitandao ya kijamii huku wengine wakisema ametia aibu.
Hili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?.
kuna hoja nimesoma mahali kuwa eti Bashite ametia aibu kukwepa kuzungumzia elimu yake, vyeti vyake, kufoji vyeti na kulikana jina lake la Daudi Albert Bashite.
Jee ni kweli Bashite ametia aibu?. Jee ameaibisha mamlaka yake ya uteuzi?, kipi muhimu kwa Bashite ni macheti au uchapakazi wake? .
Jibu ni no. Bashite hajajiaibisha wala hajaiaibisha mamlaka yake ya uteuzi, kwa sababu amejieleza vizuri kabisa kwa kiwango cha elimu yake ya darasa la saba.
Huyu mtu elimu yake ni darasa la saba, hivyo ameongea kama darasa la saba na kiukweli amejieleza vizuri. Mimi nimeridhika. Amefunika na ndie shujaa wa kipindi hicho. Thamani ya Bashite ni uchapakazi wake na sio macheti!.
Ili mteuliwa amuaibishe mteule, only if kauli, maneno na matendo ya mteuliwa, yatamuaibisha mteule na ndipo mteule huchukua hatua kuondoa aibu hiyo kama alivyofanya kwa Mhe. Kitwanga.
Lakini mteuliwa hata akifanya vitendo vya ajabu kiasi gani, au vya aibu kiasi gani, kama mteule hajaona aibu kwa vitendo hivyo, then, mteuliwa huyo anakuwa hajajiaibisha wala hajamuaibisha mteule wake kwa sababu ili mtu kujisikia umeaibika, hatua ya kwanza ni lazima kwanza hiyo aibu iwepo ndipo mtu ujisikie aibu. Lakini ikitokea hiyo aibu haipo, mtu hawezi kujisikia aibu.
Hivyo Daudi Bashite hajajiaibisha wala hajamuaibisha yoyote kwa sababu huyo wa kuibishika hata aibu yenyewe hana, ndio maana mpaka leo, mpaka kesho na mpaka keshokutwa mchapakazi Daudi Bashite anaendelea kuchapa kazi, na wanao aibika ni wanaodhani anaaibisha.
Aibu ni kama kutumia akili au kutumia busara.
Ili mtu kutumia akili, jambo la kwanza ni hiyo akili kwanza iwepo. Ikiisha kuwepo ndipo itaweza kutumika. Inapotokea hata hiyo akili ya kutumika haipo, hawezi kumwambia mtu kuwa hakutumia akili as if akili hiyo ipo na mtu anayo lakini hakuitumia, ikitokea mtu akili hiyo hana kabisa, yaani ni mchapa kazi hodari lakini kichwani ni mtupu kabisa, lakini mamlaka yake ya uteuzi haiuoni huo utupu unaouona wewe, then ujue hicho ndio kiwango cha mamlaka hiyo na imeridhika naye, who are you kuhoji akili za mchapakazi huyo?.
Vivyo hivyo katika matumizi ya busara, ili busara itumike, lazima kwanza hiyo busara iwepo. Kama busara haipo kabisa ndani kichwa cha mtumiaji, ukimtegemea kutumia busara, hiyo busara ya kutumika itoke wapi?.
Natoa wito, tuwaache wachapa kazi wachape kazi, hii ni awamu ya hapa kazi tuu, sio hapa elimu au hapa busara, ni hapa kazi tuu.
Wenye aibu zenu kaeni nazo hizo aibu zenu, wenye akili zenu, kaeni nazo hizo akili zenu na ma vyeti yenu ya elimu zenu, na busara zenu kaeni nazo wenyewe; sisi tunataka kazi tuu na wachapakazi tuu, hata kama hawana vyeti, hawana akili, hawana busara na hawana aibu, thamani yao ni uchapakazi wao tuu.
Namaluzia kwa Hili swali
ili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?
Jumanne Njema.
Paskali.
Kama hii makala siyo ya kugushi, Paschal umeteleza . Ujue,Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali. Kufuatia mahojiano ya jana ya Daudi Albert Bashite, kwenye Star TV, imethibitishwa pasi shaka kuwa ni kweli Daudi Bashite hana vyeti vya elimu zaidi ya cheti cha darasa la saba tuu ndicho chenye jina lake la Daudi Albert Bashite alilopewa na wazazi wake pale alipozaliwa Kolomije na kusoma Shule ya Msingi ya Kolomije.
Mahojiano hayo yamezua mjadala mkali huku kwenye mitandao ya kijamii huku wengine wakisema ametia aibu.
Hili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?.
kuna hoja nimesoma mahali kuwa eti Bashite ametia aibu kukwepa kuzungumzia elimu yake, vyeti vyake, kufoji vyeti na kulikana jina lake la Daudi Albert Bashite.
Jee ni kweli Bashite ametia aibu?. Jee ameaibisha mamlaka yake ya uteuzi?, kipi muhimu kwa Bashite ni macheti au uchapakazi wake? .
Jibu ni no. Bashite hajajiaibisha wala hajaiaibisha mamlaka yake ya uteuzi, kwa sababu amejieleza vizuri kabisa kwa kiwango cha elimu yake ya darasa la saba.
Huyu mtu elimu yake ni darasa la saba, hivyo ameongea kama darasa la saba na kiukweli amejieleza vizuri. Mimi nimeridhika. Amefunika na ndie shujaa wa kipindi hicho. Thamani ya Bashite ni uchapakazi wake na sio macheti!.
Ili mteuliwa amuaibishe mteule, only if kauli, maneno na matendo ya mteuliwa, yatamuaibisha mteule na ndipo mteule huchukua hatua kuondoa aibu hiyo kama alivyofanya kwa Mhe. Kitwanga.
Lakini mteuliwa hata akifanya vitendo vya ajabu kiasi gani, au vya aibu kiasi gani, kama mteule hajaona aibu kwa vitendo hivyo, then, mteuliwa huyo anakuwa hajajiaibisha wala hajamuaibisha mteule wake kwa sababu ili mtu kujisikia umeaibika, hatua ya kwanza ni lazima kwanza hiyo aibu iwepo ndipo mtu ujisikie aibu. Lakini ikitokea hiyo aibu haipo, mtu hawezi kujisikia aibu.
Hivyo Daudi Bashite hajajiaibisha wala hajamuaibisha yoyote kwa sababu huyo wa kuibishika hata aibu yenyewe hana, ndio maana mpaka leo, mpaka kesho na mpaka keshokutwa mchapakazi Daudi Bashite anaendelea kuchapa kazi, na wanao aibika ni wanaodhani anaaibisha.
Aibu ni kama kutumia akili au kutumia busara.
Ili mtu kutumia akili, jambo la kwanza ni hiyo akili kwanza iwepo. Ikiisha kuwepo ndipo itaweza kutumika. Inapotokea hata hiyo akili ya kutumika haipo, hawezi kumwambia mtu kuwa hakutumia akili as if akili hiyo ipo na mtu anayo lakini hakuitumia, ikitokea mtu akili hiyo hana kabisa, yaani ni mchapa kazi hodari lakini kichwani ni mtupu kabisa, lakini mamlaka yake ya uteuzi haiuoni huo utupu unaouona wewe, then ujue hicho ndio kiwango cha mamlaka hiyo na imeridhika naye, who are you kuhoji akili za mchapakazi huyo?.
Vivyo hivyo katika matumizi ya busara, ili busara itumike, lazima kwanza hiyo busara iwepo. Kama busara haipo kabisa ndani kichwa cha mtumiaji, ukimtegemea kutumia busara, hiyo busara ya kutumika itoke wapi?.
Natoa wito, tuwaache wachapa kazi wachape kazi, hii ni awamu ya hapa kazi tuu, sio hapa elimu au hapa busara, ni hapa kazi tuu.
Wenye aibu zenu kaeni nazo hizo aibu zenu, wenye akili zenu, kaeni nazo hizo akili zenu na ma vyeti yenu ya elimu zenu, na busara zenu kaeni nazo wenyewe; sisi tunataka kazi tuu na wachapakazi tuu, hata kama hawana vyeti, hawana akili, hawana busara na hawana aibu, thamani yao ni uchapakazi wao tuu.
Namaluzia kwa Hili swali
ili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?
Jumanne Njema.
Paskali.
Majanga yapo kwenye (Elimu, Sheria, Habari, Hazina, Ujenzi na Bungeni)Kama elimu si kigezo cha bashite kuteuliwa Bali utendaji wake basi watu wa aina hiyo wako wengi,wako wakulima wengi vijijini wenye weledi mkubwa kuliko bashite nao wafikiriwe ktk teuzi,NA mwelekeo wa serikali hii ya maprofesa Na ma dokta ni kuiangusha nchi kwa sababu u prof Na u dokta wao hauna tija kwa taifa Bali kuendeleza umangi meza,stupid notion
Paskali pole.
Instant justice ya DAB ni hulka yake. Hata kama angekuwa na vyeti halisi, nina mashaka kama angebadilika.
Watu wenye hulka kama yake huwa hawasaidiwi na elimu ya vitabuni. Hulka hii katika aiba yao ni matokeo ya malezi na uzoefu wa ubabe unaotokana na maisha alimopotia na kukulia.
DAB amefanya kazi ya ukondakta, house boy, errand boy na mbabe wa kijiwe. Amewahi kukodiwa kutukana, kudhalilisha na hata kupiga. Ukiona haya, uwe na uhakika kuwa hulka ya kupenda kuonekana na ubabe wa kifisadi, haviwezi kubadilishwa na elimu ya vitabuni.
Ikumbukwe licha ya kununua cheti chenye jina la mtu mwingine, DAB alipita darasani kule Moshi na kuhitimu. Lakini ukiona ujenzi wa hoja zake na kiwango cha kutojitambua nafasi yake, unagundua kuwa elimu ya vitabuni haina nafasi katika usugu wa tabia aliyo nayo.
Mahojiano yake na Star TV yameonyesha wazi na kwa kweli kawaaibisha waliopanga naye mkakati wa damage control. Mathalani:
- suala la vyeti limemshinda kulieleza
- suala la kuvamia studio ameishiwa kubwabwaja maneno
- Ameshindwa kuficha chuki yake dhidi ya Nape na Gwajima
- Ameshindwa kujieleza juu ya mwanamke wa shilawadu
- Ameshindwa kueleza ni kwa nini alienda na silaha studio usiku
- Ameshindwa kujieleza kwa nini aligoma kuhojiwa na tume
- Ameendelea kujilinganisha na mawaziri
- Ameshindwa kuficha siri binafsi na za marafiki zake katika masuala ya fedha za michango
- Ametumia majigambo mengi alivyo karibu na Mungu
- kila anayepingana naye anapewa sifa ya kuuza unga
- DSM ni mkoa na mali yake, na wakazi wa Dar ni kama watoto wake!
- Vicarious liability anaitumia vibaya kuhalalisha madhambi yake
- ukitofautiana naye ni sawa na kutofautiana na Mungu
- kwake matokeo ya kazi ni bora kuliko njia za kufikia matokeo hayo
Kimsingi, DAB ni kituko na Paskali unafanya mzaha kumlinganisha na viongozi wasomi.
Yaani kututaka kuchagua kati ya kiongozi asiye na elimu lakini mchapa kazi na mwenye elimu lakini mangi meza. This is an invalid comparison. Si kila Mbashite ni mchapa kazi na si kila msomi ni mangimeza.
DAB hayuko katika makundi hayo mawili.
Kuna hatar ya mtu kutekwaWanabodi,
Hili ni bandiko la swali. Kufuatia mahojiano ya jana, kwenye Star TV, imethibitishwa pasi shaka kuwa ni kweli muhojiwa hana vyeti vya elimu zaidi ya cheti cha darasa la saba tuu ndicho chenye jina lake alilopewa na wazazi wake pale alipozaliwa kijijini Kolomije na kuandikishwa Shule ya Msingi ya Kolomije.
Mahojiano hayo yamezua mjadala mkali huku kwenye mitandao ya kijamii huku wengine wakisema ametia aibu.
Hili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?.
kuna hoja nimesoma mahali kuwa eti muhojiwa ametia aibu kukwepa kuzungumzia elimu yake, vyeti vyake, kufoji vyeti na kulikana jina lake halisi, na badala yake kukumbatia jina la wizi.
Jee ni kweli muhojiwa ametia aibu?. Jee ameaibisha mamlaka yake ya uteuzi?, kipi muhimu kwa muhojiwa kati ya macheti au uchapakazi wake unaodeliver? .
Jibu ni a big No. Muhojiwa hajajiaibisha wala hajaiaibisha mamlaka yake ya uteuzi, kwa sababu amejieleza vizuri kabisa kwa kiwango cha elimu yake ya darasa la saba.
Huyu mtu elimu yake ni darasa la saba, hivyo ameongea kama darasa la saba na kiukweli amejieleza vizuri. Mimi nimeridhika. Amefunika na ndie shujaa wa kipindi hicho. Thamani yake ni uchapakazi wake na sio macheti!.
Ili mteuliwa amuaibishe mteule, only if kauli, maneno na matendo ya mteuliwa, yatamuaibisha mteule na ndipo mteule huchukua hatua kuondoa aibu hiyo kama alivyofanya kwa Mhe. Kitwanga.
Lakini mteuliwa hata akifanya vitendo vya ajabu kiasi gani, au vya aibu kiasi gani, kama mteule hajaona aibu kwa vitendo hivyo, then, mteuliwa huyo anakuwa hajajiaibisha wala hajamuaibisha mteule wake kwa sababu ili mtu kujisikia umeaibika, hatua ya kwanza ni lazima kwanza hiyo aibu iwepo ndipo mtu ujisikie aibu. Lakini ikitokea hiyo aibu haipo, mtu hawezi kujisikia aibu.
Hivyo mhojiwa, hajajiaibisha wala hajamuaibisha yoyote kwa sababu huyo wa kuibishika hata aibu yenyewe hana, ndio maana mpaka leo, mpaka kesho na mpaka keshokutwa mchapakazi huyu anaendelea kuchapa kazi, na wanao aibika ni wanaodhani anaaibisha.
Aibu ni kama kutumia akili au kutumia busara.
Ili mtu kutumia akili, jambo la kwanza ni hiyo akili kwanza iwepo. Ikiisha kuwepo ndipo itaweza kutumika. Inapotokea hata hiyo akili ya kutumika haipo, hawezi kumwambia mtu kuwa hakutumia akili as if akili hiyo ipo na mtu anayo lakini hakuitumia, ikitokea mtu akili hiyo hana kabisa, yaani ni mchapa kazi hodari lakini kichwani ni mtupu kabisa, lakini mamlaka yake ya uteuzi haiuoni huo utupu unaouona wewe, then ujue hicho ndio kiwango cha mamlaka hiyo na imeridhika naye, who are you kuhoji akili za mchapakazi huyo?.
Vivyo hivyo katika matumizi ya busara, ili busara itumike, lazima kwanza hiyo busara iwepo. Kama busara haipo kabisa ndani kichwa cha mtumiaji, ukimtegemea kutumia busara, hiyo busara ya kutumika itoke wapi?.
Natoa wito, tuwaache wachapa kazi wachape kazi, hii ni awamu ya hapa kazi tuu, sio hapa elimu au hapa busara, ni hapa kazi tuu.
Wenye aibu zenu kaeni nazo hizo aibu zenu, wenye akili zenu, kaeni nazo hizo akili zenu na ma vyeti yenu ya elimu zenu, na busara zenu kaeni nazo wenyewe; sisi tunataka kazi tuu na wachapakazi tuu, hata kama hawana vyeti, hawana akili, hawana busara na hawana aibu, thamani yao ni uchapakazi wao tuu.
Namaluzia kwa Hili swali
ili ni bandiko la swali, Jee sisi Watanzania tunataka Viongozi wa aina gani? . Wajinga wenye zero,na wasio na vyeti lakini ni wachapa kazi na wana deliver, au wasomi wenye macheti hadi ma Ph.D lakini ni Mangi Meza, hukaa ofisini tuu na makabrasha lundo, lakini kwenye delivery ni zero?
Jumanne Njema.
Paskali.