johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Waziri wa Marekani yuko ziarani Kenya kuongea na mpatanishi wa mgogoro wa Tigray na Ethiopia Rais Uhuru Kenyatta.
Waziri huyo aliyetumwa na Rais Biden wa Marekani amesema atakwenda pia Nigeria na Senegal anakoamini wana ushawishi mkubwa katika siasa za Afrika
Ndio najiuliza Tanzania tumesahaulika?
Wakumbuke kuwa tulisaidia sana ukombozi wa bara la Afrika.
Waziri huyo aliyetumwa na Rais Biden wa Marekani amesema atakwenda pia Nigeria na Senegal anakoamini wana ushawishi mkubwa katika siasa za Afrika
Ndio najiuliza Tanzania tumesahaulika?
Wakumbuke kuwa tulisaidia sana ukombozi wa bara la Afrika.