Je, Tanzania sio salama? Hizi bunduki za nini?

Huenda mambo ya bwana Yule Yuko lupango yanatisha,kuondoa hii hofu ni mpaka Mahakama imutakase.
 
Mlianza enzi za mwendazake mkasema analindwa na "Wagabho" wa Rwanda.

Mmeanza na kwa "mama" yenu tena?

Mambo msiyoyajua yaacheni!.

Mnaumiza vichwa kwa mambo yaliyo nje ya upeo wenu.

Kalime chainizi haraka sana.
 
Kila zama na kitabu chake,misamiati kama Bwanyenye,Kupe,Mirija haipo tena.

Muda unafikiri uko salama ndiyo huwa wa hatari zaidi.

Rais mstaafu Mwinyi alipozabwa makofi kwenye Baraza la Idd 2009 watu walihoji kazi ya mlinzi wake.

Vichaa wengi mno zama hizi so si Rais tu,hupaswi kutembea kama loose cargo kwenye warehouse za Silent Ocean.

Huu ni mfano mzuri. Hivi angekuwa amezungukwa na watu wenye silaha kama hizi halafu mmoja angeamua kufyatua risasi wangapi wangeumia au hata kupoteza maisha. Hizi silaha ni za kwenye uwanja wa vita ndio maana huzioni hata kwa Biden. Aidha, Rais hapaswi kulindwa na wanajeshi bali hua anakuwa na kikosi chake maalum cha ulinzi. Hawa ni watu wamekuwa vetted na kupewa mafunzo ya kukabiliana na tishio lolote bila kuleta madhara makubwa na kuhakikishaRais yuko salama. Kuwa na watu wengi kiasi hicho wenye silaha za kivita ni tishio kwa usalama wake maana hao hao wanaweza kumgeuka. Hakuna mtu asiyependa Rais alindwe, kinachouliziwa ni aina ya ulinzi wake. Aidha, Rais wa demokrasia hapaswi kuonekana anawaogopa raia waliomchagua. Haileti picha nzuri.

Amandla...
 
Aya ya mwisho ina utata.Kwani tishio ni kwa waliomchagua tu?Hamna maadui wengine?Huyo mlinzi mwanajeshi una hakika hajakuwa vetted?
Ulinzi wa Biden unaujua?Soma au fanya utafiti wacha kukariri.White House ya Biden unajua imewekewa ulinzi wa kiwango gani?
Biden sio Rais aliyechaguliwa demokrasia?Nimeleta mfano wa Biden kwa sababu umeuleta kwenye hoja yako.
 
Usalama wa Rais tusiujadili sana.

Kikitokea chochote, utakuja kuuliza hapa hapa, walinzi walikuwa wapi; mbona hawakumlinda ipasavyo.

By the way check mazishi ya Karume uone Nyerere alivyozungukwa na mabunduki


dah huo ulinz hatar
 
Tukubali kubadilika kimfumo wa ulinzi wa viongozi wetu.
Kule kagera jamaa kaiingia na mibunduki mikubwa msikitini Akiwa na PM.
 
Nashangaa,wakati katiba ipo itatupa mpango si ndio mlichoandika kwenye katiba
 
Wakuu nauliza enzi zile zetu tukijipanga na kumpokea raisi tokea aiport hadi anapofikia hatukuona haya ya leo Rais anapokwenda huwaga na mambo ya kutisha .

Sina haja ya kuwachosha sana lakini tupeni ufafanuzi Je Tanzania sio salama tena,hata hatukuyaona wakati wa Nyerere,Ali Hassan,Mkapa wala Kikwete ,Yalianza wakati wa Magu na sasa yanaendelea.

Kusema kweli haipendezi, Raisi Samia ondoa hivi vitu Mwenyezi Mungu yupo na anakulinda .

View attachment 2017194
Si unaona mpaka Mwenyekiti wa Chama anapanga Ugaidi!!
 
Wakuu nauliza enzi zile zetu tukijipanga na kumpokea raisi tokea aiport hadi anapofikia hatukuona haya ya leo Rais anapokwenda huwaga na mambo ya kutisha .

Sina haja ya kuwachosha sana lakini tupeni ufafanuzi Je Tanzania sio salama tena,hata hatukuyaona wakati wa Nyerere,Ali Hassan,Mkapa wala Kikwete ,Yalianza wakati wa Magu na sasa yanaendelea.

Kusema kweli haipendezi, Raisi Samia ondoa hivi vitu Mwenyezi Mungu yupo na anakulinda .

View attachment 2017194
Mbona hamkusema msukuma mwenzenu aondolewe ulinzi kipindi kile,
Maana alikuwa na ulinzi kufuru, lakini wap,malaika mtoa roho akuogopa ulinzi,

Acheni Rais apewe ulinzi wakutosha wapuuzi nyie
 
Wakuu nauliza enzi zile zetu tukijipanga na kumpokea raisi tokea aiport hadi anapofikia hatukuona haya ya leo Rais anapokwenda huwaga na mambo ya kutisha .

Sina haja ya kuwachosha sana lakini tupeni ufafanuzi Je Tanzania sio salama tena,hata hatukuyaona wakati wa Nyerere,Ali Hassan,Mkapa wala Kikwete ,Yalianza wakati wa Magu na sasa yanaendelea.

Kusema kweli haipendezi, Raisi Samia ondoa hivi vitu Mwenyezi Mungu yupo na anakulinda .

View attachment 2017194
Utadhani Afghanistan!!
Wanashindwa kuwa na salaha ndogo yaani bastola kwa uficho kama wafanyavyo mataifa makubwa hatuoni hizo vitu.
Na mahali anapoenda Rais si panatanguliwa na uangalizi wa hali ya juu.
 
Wakati wa Nyerere tulikuwa only mil 8. Na kwa bahati mbaya sana sehemu karibu zote tulikuwa tunajuana. UWEPO WA TEKNOLOJIA, ONGEZEKO LA WATU, GHARAMA ZA KUENDESHA UCHAGUZI, NK zinapelekea ulinzi mkali kwa kiongozi yoyote yule DUNIANI. Analindwa PAPA sembuse huyu? Analindwa yule Shekhe wa Makka itakuwa huyu Rais.??
 
Ni ushamba au ni kitu gani,kwani intelijensia katika misafara ya raisi ina faida gani,J.F.Kennedy kilichomkuta kinajulikana ,so uovu hauwezi kuzuiliwa kwa kuwekwa ulinzi wa zana nzito wazi kama tunavyozoezeshwa,ambazo zingeweza kuhifadhiwa nyuma ya pazia.Au walinzi husika wabeba zana hizo kuvaa yale makoti makubwa ya kiulinzi.
Canal Gadafi yeye alikuwa na walinzi zaidi ya mia moja,escort yake si ya kawaida ,hao ni watu wenye migogoro au migongano ya Kimataifa ,Tz tuna ugonvi na mtu ? failure ya kumlinda raisi haitokani na kutoonyesha silaha nzito ni jinsi gani mnajipanga kumlinda na sio kuzuia kitu gani kisimfike hilo ni gumu.
UNA AKILI SAWASAWA LAKINI??
 
Mimi namshauri Raisi atembee na Kifaru na Walinzi wake kadhas wabebe RPG kama anaogopa Wapinzani.

Ila yeye atupe Katiba Mpya tu.
 
Usalama wa Rais tusiujadili sana.

Kikitokea chochote, utakuja kuuliza hapa hapa, walinzi walikuwa wapi; mbona hawakumlinda ipasavyo.

By the way check mazishi ya Karume uone Nyerere alivyozungukwa na mabunduki



Tatizo la watanzania ni usahaulifu! Ni wakati wa mzee ruksa pekee ndio mijegeje kwenye msafari wa rais ulionekana kupungua lakini waliofuata wote ni kama wana udugu na Mu7. Kwa hiyo kwa huyu Mama sioni kama kuna jipya zaidi ya alichorithi. Je PSU tunataka wawe wamejifungia tu ndani na kukosa posho za safari??? Tuwaache nao wale matunda ya nchi maana wao hawaendi mission nje kama wanajeshi na polisi
 
Mwendo ule ule
IMG-20200808-WA0001.jpg
 
Huu ni mfano mzuri. Hivi angekuwa amezungukwa na watu wenye silaha kama hizi halafu mmoja angeamua kufyatua risasi wangapi wangeumia au hata kupoteza maisha. Hizi silaha ni za kwenye uwanja wa vita ndio maana huzioni hata kwa Biden. Aidha, Rais hapaswi kulindwa na wanajeshi bali hua anakuwa na kikosi chake maalum cha ulinzi. Hawa ni watu wamekuwa vetted na kupewa mafunzo ya kukabiliana na tishio lolote bila kuleta madhara makubwa na kuhakikishaRais yuko salama. Kuwa na watu wengi kiasi hicho wenye silaha za kivita ni tishio kwa usalama wake maana hao hao wanaweza kumgeuka. Hakuna mtu asiyependa Rais alindwe, kinachouliziwa ni aina ya ulinzi wake. Aidha, Rais wa demokrasia hapaswi kuonekana anawaogopa raia waliomchagua. Haileti picha nzuri.

Amandla...

Watanzania ni ma expert wa kila kitu. Anyways, ulinzi unaendana na mahitaji. Wewe unadhani Hamza angepata nafasi ya kudhuru viongozi wa juu asingeitumia?
 
Watanzania ni ma expert wa kila kitu. Anyways, ulinzi unaendana na mahitaji. Wewe unadhani Hamza angepata nafasi ya kudhuru viongozi wa juu asingeitumia?
Huyo huyo Hamza aliyekuwa kada mtiifu? Unadhani angetaka kumdhuru kiongozi wa juu wa chama chake angeshindwa wakati alikuwa mtu wa high table?

Amandla...
 
Back
Top Bottom